Habarini za asubuhi wanajamvi,
Kuna bidhaa nataka ku-order online kupitia mtandao wa alibaba, je nitaratibu gani za kufuata ili niweze kuipta bidhaa hiyo kwanzia kufanya malipo mpaka kuweza kuitia mikononi..
napia naomba uzoefu kwa wale walioshawahi kufanya na kufanikiwa mpaka bidhaa kuwafikia...
Wakuu habarini za usiku,
Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile.
Je, hali hii inasabishwa...
Habarini za usiku wanajamvi?
Ni taasisi au chuo gani kwa hapa Arusha kinatoa mafunzo ya lugha ya kiingereza kuanzia cha kuongea na kuandika kwa vitendo zaidi, Na iwe inatoa mafunzo hayo kwa muda mfupi kama miezi mitatu. nimgependa kujua na bei wanazotoza pia.
Nataka kukinoa zaidi hichi kidogo...
habarini wanajamvi!? naulizia ni wapi wanapouza hizi manual heavy duty blender( brenda) ambayo haitumii umeme kama hiyo hapo pichani.
Achana na hivi vidogo vidogo vinavyouzwa na wamachinga, nahitaji kubwa kama hiyo kwenye picha kwaajili ya shughuli zangu za kuuza juisi kwenye mkokoteni wangu...
Je umeachika bila sababu???
Tunarusha mawe usikukucha kwenye bati la Ex wako, tunaku*nya pia nje ya chumba au nyumba yake kwa bei nafuu kabisa. Mikoani pia tunatuma vijana.
Ajira ngumu acha tujiajiri
Habarini wakuu naomba kuuliza hivi, wameshaanza kuajiri watu kwenye ule mradi wa stegler george (sijui kama nimepatia kuandika) huko rufiji??
Naomba mwenye taarifa atujuze maana mtaani ni pamoto.
Habarini wakuu naomba kuuliza hivi, wameshaanza kuajiri watu kwenye ule mradi wa stegler george (sijui kama nimepatia kuandika) huko rufiji??
Naomba mwenye taarifa atujuze maana mtaani ni pamoto.
Nimeona matangazo mbalimbli ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya nailoni (malboro) kutoka kwa viongozi wa serikali. Huku kukiwa na vifungo, faini au vyote kwa pamoja kwa mtu au taasisi itakayo zalisha, sambaza au kutumia mifuko hiyo.
Aidha, kwa upande wangu nimeona ni fursa adhimu kwetu...
Tafakuri ya leo, kwa wale wanaotusisitiza vijana tujiari ilihali wao wameajiriwa.
Naukumbuka huu msemo unaosema
"Kaajiriwa ili kuwafundisha watu kujiajiri"
Hata wao wanafamilia zinazowategemea, kama wewe dereva ulivyo na watoto na mke/wake/mume, vilevile hata wao wako hivyohivyo.
Tuwalinde, tuwatunze, na tuwape nafasi nyingine ya kuishi.
Samahani kwa wote ambao picha itawakwaza, nia yangu ni kuelimisha jamii juu ya viumbe hai wanaohitaji kuishi.
Tunajua wengi tunapoelekea mwisho wa mwaka huu, lazima turudi nyumbani, kusherehekea pamoja sikukuu ya christmas na mwaka mpya. Tunawakumbusha mnaokuja huku vijijini mubakikishe mnakuja na mlichovuna huko mijini mwaka huu wote mzima.
Kama ulikuwa unazungusha sket au suruali huko mjini...
"Msije mkasema hamjaambiwa, wengine mnavichwa kama rungu au dume la siafu, sasa hilo wigi likipeperushwa na upepo kumbe ulikuwa unaficha uwalazi usije sema huku ambiwa. Ikiwezekana muyagongelee misumari au muyawekee gundi"
Nawasilisha taarifa
Uzi huu nimeuleta kama moja ya kukutana wale wote "tunaotaka kujifunza" na "waliojifunza" kuendesha mashine hizi ambazo ni heavy duty.
Tupeane maujanja ya hizi mashine maana tumeona zinafursa nyingi katika serikali hii ya awamuya tano.
Kama tunavyoona miradi mikubwa ikijengwa kama ule mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.