AI ni programs za computer zilizo bora zaidi.
AI inanakilisha mawazo mengi yaluojazwa kwenye internet na kutolewa ktk chanzo kimoja. AI ni muendelezo wa kimapinduzi ulionza kufanywa na binadamu tangu zamani.
Nyuklia zilipigwa marufuku ili tu zidisambae nchi zote. Ni sawa tu na teknolojia...
Wuran na biblia mbona zomeandikwa na zinasimwa ijumaa, jmosi na pili.
Mimi nilikuwa nakisoma hicho kitabu na nilikiokota mtandaoni.
Kitabu kinaitwa KEMETIC TREE OF LIFE. Nimelikumbuka jina.
Wanerekani weusi wameishaweka na masinagogi huko kwao.
Mkuu wapo waafrics weudi wanairufisha farso.
Kuna kitabu kinaitwa ..... tree of life.
Kirmeandikwa na Mmarekani wa asili ya Egypt. Kitabu hicho kina mambo mengi aisee. Nimesahau neno la kwanza ila kinamalizia tree of life.
Uzuri ni kwamba wageni waliua utamaduni wa mtu mweusi ila yapo mambo...
Nimesema wabantu kwa sababu waswahili mi wabantu, wazaramo ni wabantu, warangi ni wabantu , wasukuma ni wabantu ,wanyamwezi, wamanyema ni wabantu.
Hao wote wameoana na warabu tangu karne ya 7 sasa kana wewe ni mkilya hilo halikuhusu. Juwa kwako mkiristo hakuondoi ukweli kuwa makabila ya...
Hicho kiswahili unachoongea ni sehemu ya kizaramu.
Mimi nilijaribi kuiuliza bard AI juu ya kilugha cha kimanyema na kitongwe. Hizo lugha ni kiswahili 90 ! NIkaiuliza inifundishe kikongo au kilingala nikagundua kuna maneno mengi ya kiswahili. Ukuwasikiliza wazuru unaweza dhani wanaongea...
KWANI NYIE WAYAHUDI WANAWATAMBUA ?
WAYAHUDI WEUPE WANAWAUA WAYAHUDI WEUSI (ETHEOPIAN) MMOJA MMOJA.
Wewe MKULYA nk unanasaba na wayahudi ? Sisi waswahili tuna nasaba na warabu . Yaani sisi wabantu waswahili warabu tumeshare nao damu kwa asilimia fulani. Ila sijawahi ona mbongo alie share damu...
Kwa hio tusicheke hivi vituko bya karne ?
Kubusu jiwe kubusu msalaba na kipiga magoti kumuomba bikra malia ni vituko vya zamani vinafahamik. Hivi ni vipya lazima tucheke ila inabidi hawa mitume nao waandike vitabu vyao.
Magu au JOM alikuwa mealimu. Sasa mlinganishe na mwajaku na co. yake.
Kazi yoyote ile unaweza jenga ghorofa.
Hao hao machawa wapo waliochoka mbaya.
Polisi , Jeshi, walimu, bankers wapo waliojenga ghorofa na wapo waliochoka.
Walimu wanafursa tofauti. Mwalimu aliepo NECTA na wa sekondari wana...
Tutarudi kule kwa mababu taratibu.
Kuna kijiji huwa nakitembelea vibintu vimeacha shule form 1 and 2+ vinapigana miti na kska zao vinapewa mimba vinabski na msala wa mtoto.
Natamani nione msomi mmoja nguli akifanya utafiti kuhusu hili suala la umri na kuolewa + shule. Naona siasa zinatawala...
50 Cent Ameuza album ngazi ya PLATINUM. Kama hajui hilo neno aka gugu.
50 anaweza kufuatia kwa umaarufu ukimtoa Michael Jackson Tupac. Mtu maarifa anawekwa kundi sawa na mimi wa JF hata viewer elf 10 tu kufikisha kazi.
Labda ilibidi atumbie average ktk nini ?
Bro wangu kaja juzi toka USA...
Mkuu mawazo yako yamefanana na yangu.
Kuna wanawake eti wanaolewa wakiwa na miaka 27. Ndoa fake.
Sisi binadamu wa sasa UZOMBIE ni mwingi sana. Tunailazimisha nature ifuate tunavyotaka matokeo yake tunafeli.
Kuna mzee mmoja eti binti yake wa form 6 alipigwa mimba na jamaa. Mzee akamkamata...
Wazee wetu wa kiswajili walikuwa wakiiva urafiki wanazawadiana mabinti. Nini cha ajabu hapo ?
Wamagharibi wenyewe wamehalalisha ngono toto( uboi frend na ugeo frendi) ila wameweka sheria za umri kutooana mepema.
Kwa kuiga tabia za wamagharibi kesi za kubakana zimekuwa tele kitu wmbacho sio...
Kutokana na hoja yako na utetezi wako, je wabantu waliohamia Africa mashariki na Africa kusini ni illigal immigrant ? North African are also illigal immigrants? Binafsi sioni kama hoja yako ina mashiko. Labda uliwapata wamarekani kwa sababu hawasomi au hawazingatii historia vizuri .
Mkuu perereleza site mbali mbali utajionea dunia nyingine. Wanaowaheshimu wazungu nawashangaa sana. Wazungu ni kundi la wanyama, kwa hio usishangae kidume kuwa na jibwa kubwa. Nikuongezee tu wanafuga farasi, ng'ombe, nguruwe nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.