Jembe? Una akili we we? Unaifahamu falsafa ya jembe? Huwa halifanyi kazi mpaka liingiziwe mpini...
KWA HIYO HUYO MGOMBEA WAKO HAFANYI KAZI MPAKA AINGIZIWE MPINI, PUNGUZA VIROBA UTAKUWA NA FIKRA SAHIHI.SI KILA NENO UNALITUMIA TU
Kabyemela acha ushabiki wa kitoto, kwa hiyo we umefurahia hill jambo? Nadhani ungekuwa unaishi huko iramba, na mama yako pia Dada zako wangekuwa wanasubiri kuteka hayo maji wala usingejibu hivyo ulivyojibu
Yaani hujui kama umeme na kilimo vina uhusiano? Fikiria kwa undani sana, utagundua umeme unahusika vipi. Pia jiuluze, pembejeo zake zinapatikana vipi? Na hayo mazao ya shambani ili yapande thamani hupelekwa wapi?
Nakushauri futa kauli yako na wala usiishi kwa kukariri.
Zote ni sahihi, ila zimeandikwa katika maumbo tofautitofauti. Ya kwanza, neno mwona limeandikwa katika umbo la ndani, na neno muona limeandikwa katika umbo la nje
Mzee mkapa hapo ni ulimi uliteleza au ulidhamiria? Heshima huifadhiwa miaka tele lakini huweza potea kwa sekunde chache usipokua makini..Pole baba, pole sana yawezekana ulikengeuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.