Habari wana JF kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nimekuwa na tatizo la kuwa na umio mrefu (Kale ka mkia katikati ya koromeo Kwa ndani), wengine huita kidakatonge.
Sasa nataka kupata namna ya kukapunguza pasipo kukata Kwa kawaida.. Yaani kama Kuna dawa zinapatikana ambazo nikitumia basi...
Wana bodi,
Naomba kwa anayefahamu namna ya kupambana na kutibu tatizo hili, dawa za kutibu kama zipo. Kuna ndugu yangu amepatwa na tatizo hili.
Msaada.
Gari yangu aina ya Altezza, ilikata timing belt, hii ilipelekea kupindisha Valve za exhaust
Please kama Kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia kuzipata. Natafuta 4 tu.
Aina ya injini ni 3S-Yamaha. 4 cylinder.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.