Hili Jambo Huwa linanitafakarisha sana... Yaani kwa Nini iwe hivi?... Wazanzibari huku bara wanaajiriwa na kupewa mavyeo kama yote...
Ila Wabara/Watanganyika wakienda kule hawaruhusiwi kushika uongozi wowote....
What kind of this Union we have????....... Mweeee...🤔🤔🤨🤨☹️☹️
Mwingereza wapi Mkuu? Mjerumani ndiyo alikuwa balaa, alitunyoosha kwelikweli akatufudisha kazi... Si unaona reli ya kati Dar-Kigoma bado inapiga kazi na ilijengwa na Mjerumani...
Ngoja na mimi niweke kisa changu kimoja juu ya uzi huu uliotrendi kuliko nyuzi zote hapa jamvini....
Mtaamua wenyewe muite "Masikhara" au vipiii[emoji38][emoji38][emoji38]....
Mnamo mwaka 2018 nikiwa nafanya kazi katika wilaya mojawapo ya mikoa ya Nyanda za Juu Kusini (Mimi ni Civil Engineer)...
Hiki ni kipimo sahihi kabisa kwa mtu anayewachokoza hawa jamaa....
Kama Hitler aliwashindwa, basi hakuna taifa lingine litawasumbua...
Kumbuka kipindi hicho Hitler alikuwa Super Power kwelikweli....
Hili lilimkuta Gamal Abdiel Nasser wa Egypt...alijuta... sasa yule ndo alikuwa na mbwembwe na nguvu kwelikweli katika ulimwengu wa kiarabu... lakini alinyanyua mikono....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.