Hapo kajichanya kiaina ama utaratibu wao ni wakipumbavu, kwa utaratibu wa chama chao manaake hata kiwe kibaya, miaka kumi lazima. Namkubali Magu as ni kizuri kinachojiuza, wasi wasi wangu ni pale watakapotuletea viraza na huo utaratibu wao wa 10 years is a must.
Umefanya conclusion ya kwamba tunalalamika, mimi sijalalamika, mchukueni mufassa, simba, pumba, rafiki pamoja na sir batbway Elton John. Animation istufanye tukawa mafirauni. Kama ni wafalme wa nyika serengeti wamejaa tele, Hollywood waende zoo
We unajua kiongozi, pale Bad Boyz kulikuwa na vichwa, kina Craig Mack R.I.P, yule mtoto wa kike Heather B na wengine wengi. Tupac was bigger than Rap itself. A seed of Black panther movement, representing ghetto na mnazi mkuu wa Hennessy. Alichukia sana madawa japo alishakili kuwahi kuuza japo...
Hakuna kama Makaveli the Don mazeeee! Nyimbo zake aliwakilisha sana society aliyokulia utaskia akilia na homicide, issue ya Single mothers kama alivyo experience yeye mwenyewe, alikuwa very angry of the white man system jinsi ilivyo curse watu wa tabaka tofauti hasa Mexicans, African Americans...
Hujielewi kiongozi, mpaka hicho kiingereza kuwa na ushawishi unadhani ni jambo lililochukua mwaka mmoja, miwili au kumi? Jaribu kuwa na vision ya mbali, baada ya miaka mingi baadae vitukuu vyetu vitaicheka hii post yako. Saizi huwezi ona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.