Wakati mwingine tupunguze ushabiki wa vyama ili tujenge nchi yetu, ni kweli hiyo habari inaongelea pia kuhusu hao wamasai kutupa kadi za CCM lakini jambo la muhimu ni ARDHI haki ya kila Mtanzania bila kujali chama na uongozi mbaya ambao unagusa maendeleo ya kila mwananchi wa kawaida ....
Samahani sijapita huku muda mrefu, ndio maana nimechelewa kukujibu, nilikuwa ninamaanisha uchanganye mafuta (essential oil) yanaitwa "tea-tree" au kwa kisayansi yanaitwa "melaleuca alternifolia" sifahamu jina kwa kiswahili, uchanganye hayo mafuta katika lotion unayopaka au katika sabuni ya...
Ikiwa scabies unatakiwa utibu familia yako yote, pia angalia mikono. Vinginevyo jaribu kudilute teatree oil katika lotion au sabuni ya kuogea. Unaweza tumia pia majani ya muarobaini yasage na paka sehemu unazosumbuliwa subiri muda kabla ya kwenda kuoga.
Kwa kweli leo nimejisikia furaha sana, kukumbuka na mimi enzi ninakua maana nami ni mpenzi wa vitabu. Nyumbani tulikuwa wa vitabu vingi vya hadithi na vilivyonigusa ni mfano Nyota ya Rehema, Kasri ya Mwinyi Fuad na pia hadithi za Ben Mtobwa. Pamoja na gazeti la sani enzi hizo.....
Nakumbuka pia...
Sio ulalamishi. Mimi mwenyewe nina mtoto hajafikisha miaka 5 na ninaposafiri mara nyingi huwa tunapita Nairobi yaani pale hata ukienda msalani utawakuta wale kina dada wanaoshughulikia usafi wako standby na mara zote wako tayari kukusaidia. Ingawa Jomo Kenyata wananikera kwa udokozi katika...
Hilo ni jambo la kawaida sana tu, na ni kwa wakimbizi ambao wanakimbia nchi zao na kuomba uhifadhi hasa hasa nchi za ulaya - hivyo wanapewa pasi ya ukimbizi inayowaruhusu kusafiri lakini hawaruhusiwi kurudi nchini kwao na hilo linakuwa limeandikwa katika pasi zao.
Sasa mleta mada nadhani huu ushauri wako unaweza faa sana tu hata kwa wale walio katika ndoa zao, Hebu fikiria ikiwa umeoa na mkeo ndio anakuhudumia hivi, nadhani ni ujanja tu ambao wake wanaweza kuutumia pia kudumisha na kuboresha ndoa zao.
Hivi yupo Mtanzania ambaye hajawahi kupata manung'uniko kuhusu hali na huduma za afya nchini?
Madaktari kugoma naona hii ni arobaini tu maana hali imekuwepo toka muda mrefu! Na nilishamsikia docta mmoja mgeni katika clinic private akisema Tanzania moja ya urahisi katika kazi yake hana pressure...
Mahitaji: Viazi mviringo nusu kilo- vichemshe na maji mengi yenye chumvi bila kuvimenya
Maharage machanga nusu kilo- yachemshe na maji mengi pia yenye chumvi
Mwaga maji ya kuchemshia toa maganda ya viazi. Hifadhi viazi na maharage kwa kutenganisha katika jokofu.
Nyanya...
Tunaongelea sana unatural wa nywele kutokana na sababu kwa nini wanawake wanapenda kubadili mtazamo wa nywele zao hasa sie wenye asili ya kiafrika pamoja na madhara ya hizo kemikali zinazotumika kwa mfano pale mtu anapoweka relaxer. Mie kwa kweli nina zangu natural, huwa ninaweka henna (natural)...
Posho Euro 300, nguo ya maana inaanzia euro 30, hujanunua chakula, unaishi kwenye gheto mbali na town centre hivyo ukitaka kwenda mjini ulipe nauli. Msimu wa baridi unawaza gharama za kupasha moto nyumba, hakuna suala la ndugu kusaidiana wakati mwingine ile kupiga story tu nao hamna kila mtu...
Indecent assaults on females Ord. 1954 No. 47 s. 3
1 3 5 . - ( 1) Any person who unlawfully and indecently assaults
any woman or girl is guilty of a felony, and is liable to imprison-
ment for fourteen years.
(2).......
(3) Whoever intending to insult the modesty of any...
Sio mkiishi miezi mitatu, ni miezi sita na majirani wawaone na kuwatambua kama mke na mume, hapo kisheria kunakuwa na kitu wanaita "assumption of marriage"
Si yote kazi ya Mungu, kwa yeyote aliyewahi kufanya mitihani kupata leseni ya kuendesha gari nchi zilizoendelea atakubaliana nami kuwa ajali nyingi kwetu ni hasa uzembe,ulevi na hata kutojua, mwendo kasi pia katika barabara ambazo haziruhusu kwenda kasi. Kwa wastani nchi nyingi za ulaya highway...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.