Haya mambo yapo ila wengi wetu hatujabatika kuyaonamiaka ya 2000, katika kijiji cha ngombezi ,korogwe huko kulikuwa mambo kama haya ,kila alfajiri kuna mwanamke huonekana maeneo ya msikiti ,ilikuwa yatisha sana kipindi hicho sijui kwa sasa kwa waliopo
Hapo kuna mmoja nimcheshi sana kwenye kazi zake ,huyu mwingine yuko siliasi mno kwenye kazi zake, kwangu wote nachaguaga nikivurugwa nantafuta chen,nipunguze wenge, ila nikitulia namtafuta lee, hawa jamaa noma wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.