nafahamu kua miili ye2 ni kama injini za gari mara nyingine checkup ni muhimu,na mambo mengine huwa yanahitaji ushauri na wakati mwingine huwa mazoezi ndio tiba muhimu,sasa kwa sisi wenzangu na mimi ambao tuna hisia za mapenzi na tukifanya mazoezi na ukichangia ubusy ndio kujisahaurisha ila...
nampa pole sn kaka! Lakini hilo sio jambo la kufa moyo coz kila ki2 kinawezekana,kwa mtazamo wangu na navyodhani kuna sababu au mambo ambayo kwa ushauri anaweza kufanya na tatizo lako likaisha,cha msingi si kuvunjika moyo kwa sbb mapokeo ya ubongo na vitendo vya kuanzia na mwisho ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.