Kati ya Bachelor Degree in Dental surgery na Doctor of medicine ipi kwa nyakati hizi inalipa sana na haisumbui katika upatiakanaji wa ajira.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapopewa kazi na mtu mara kwa mara, siyo kwamba wewe ni mfanyaji kazi mzuri /gharama zako nafuu kuliko wengine, ila yawezekana umejenga uaminifu mkubwa katika kutimiza kazi zako. UAMINIFU & UTU ni vitu muhimu katika kazi yako. Nimejifunza wengi wanakosa hivyo vitu viwili.
Pongezi kwa vijana wa kike na Kiume wanao graduate msimu huu, hongereni sana , lakini niwaambie mjiandae pia kisaikolojia baada ya Sherehe kwisha Mtaani pagumu ndugu zanguni. Only ubunifu Ndio utawabakiza mjini mkiwa na tabasamu zetu, Ajira zimekua kama kaka kuona .Kila la kheri
Maisha ya mtaa yamenifundusha mengi zaidi ya chumba cha darasa kinachozalisha wanataaluma. Shukrani ziende kwa wanangu wote kitaa[emoji1363][emoji1363][emoji109]
Vipo vitu vingi vya kufanya, usipende kupoteza muda wako kwa kufanya kitu ambacho uwezi. Fanya kile unachoweza na ambacho unahisi kitakupa matokeo chanya.
Umeshawahi kujiuliza muda unaoutumia kufanya kazi za mwajiri kama ungekuwa unafanya shughuli zako mwenyewe ungekuwa wapi leo? Jaribu kuwaza kwa sauti halafu ujipe majibu mwenyewe, kujiamini na kuthubutu ni 'values' muhimu sana katika kujitegemea kiuchumi
Tafakari, Chukua hatua!
Kabla hujaamua kufanya commitment kwa mtu either kuolewa au kuoa make sure unafahamu vema kuhusu familia anayotoka, vijana wa leo tunaweza kupinga hili ila wazee wetu waliona mbali, kuna familia 'ukiunga nao undugu' hutoboi mazee, kila baya litakufuata, watu wana 'maagano' yao!
Kitu Ambacho wanawake/wasichana hawajui ni kwamba, Wanaume hawaoi mtu alivaa nusu uchi/ au kuwa wazi hao wanakuwaga wa mpito tu. Kila mwanaume anatafuta mwanamke ambae atatulia nae na alietulia kichwani. Lakin mvaa vichupi,vimini,sijui bikini hawa hatuoi!!!!!
Kuna wale marafiki wako Real sana wanaweza kukutetea hata pale ambapo we hautokuwepo sometimes unaweza ukawa umekosea lakini watahakikisha wanalinda jina lako halafu ndo watakuja kukuchana.
Mbarikiwe sana nyie watu [emoji110][emoji110]
Katika nchi yetu tatizo la ukosefu wa ajira siyo kubwa kihivyoo. Ila tunalo tatizo moja kubwa, mno. Tunao wahitimu wengi WASIOAJIRIKA.
Kutoajirika (unemployability) ni tatizo kubwa, mno. Waombaji wengi wa ajira wana sifa ila hawana uwezo.
Kama una kazi ya kuingiza kipato na kuweka akiba, jaribu siku moja kutembea kwenye mikoa na wilaya mbalimbali Tanzania, hutarudi bure kifikra. Nenda Kigoma, Mbeya, Tanga, Katavi, Iringa, Pwani (Pangani, Mafia, Kilwa, Kisarawe), Ruvuma, Mtwara, Lindi, Mwanza, n.k. Jaribu.
Amepata Mimba, Aliyempa Mimba Kamkimbia Japo Alimuahidi Kumuoa,Hana Pesa, Hana Kazi Jamaa Kamharibia Malengo Na Mipango Yake Ya Baade! Kuna Watu Wanapitia Mambo Magumu Sana Hii Dunia.
Maisha hayana fomula wakati mwingine ni nyota ya mtu tu!! Unaweza piga bajet kali, kufanya kazi kama Punda, extra legend bahili na ukawa maskini vile vile!
Kuna ambao wapo wapo na hawajibani Ila wanatusua mbaya zinatoka na kuingia
Maisha ni nyota.
JINSI YA KUENDELEA KUWA MASIKINI
1.Usiamke mapema.
2. Usipange matumizi ya Pesa zako.
3. Usiweke akiba mpaka utakapo-kuwa tajiri.
4. Chagua kazi. Mimi nimesoma siwezi kufanya hii kazi.
5. Usifikirie kuanzisha biashara mpaka malaika akishuka kutoka mbinguni na kukukabidhi mtaji.
6. Endelea...
Usimweleze kila mtu ndoto yako ingali bado changa wauwaji wa mimba ni wengi (Wakatishaji tamaa). Vuta subira kwanza ndoto yako izaliwe, ikomae, iote mizizi isipotoshea ndani itatoka nje yenyewe na kujitangaza, Wakati huo hakuna atakayeweza kuiua wala kuizimisha[emoji106][emoji106]
Over
Katika CV yako!
Epuka kuweka Email kama hizi chugaboy@gmail.com
Tumia email yenye majina yako Mf. abdulazizmomba@gmail.com
Kila la kheri katika Hustling zako.
Tumefikia nusu mwaka,
1. mshukuru Mungu kama unapiga hatua. Haijalishi ni fupi fupi kiasi gani.
2. usiijifananishe na mtu wala usishindane na mtu, jiangalie kwenye kioo na shindana na nafsi yako.
3.Usiwachukie washkaji waliokuzidi. Jiweke karibu na jifunze kutoka kwao.[emoji1488]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.