husika na kichwa cha habar hapo juu .nahitaji kijana mtaalamu wa kuandaa chips nataka nitafute/tutafute location nzur niweke banda LA chips.npo chanika .na location tutatafutia ndan ya chanika.ahsante.
Habari ndugu nimeona tangazo lako la kutafuta mtaalamu wa vipimo vya maabara so mtaalamu tu Bali pia mzoefu wa kazi,nidhamu,heshima,kujituma,na mengine mengi nipo Nina uzoefu wa kutosha na nipo tayari kwa kazi ndugu .ili tuweze kutoa huduma Bora kwa jamii.kama tupo pamoja ni pm.ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.