Search results

  1. Wa kusoma

    Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

    Wadau nilileta uzi humu wa kuomba ushauri kuhusu ni gari gani nianze nayo. Wengi mlinishauri maoni mbalimbali na sasa namshukuru Mungu nimefanikiwa kununua Nissan Duals cc 2000 kutoka Japan. Niliagiza mwenyewe hlf nikatafuta wakala wa kuitoa bandarini wala hapakuwa na usumbufu wowote...
  2. Wa kusoma

    Naomba ushauri kuhusu gari ya kununua kwa mara ya kwanza

    Habarini za jioni wadau. Nimejikusanya nimepata kama mil 12 - 14. Malengo yangu nahitaji kununua gari kwa ajiri ya shughuli za kawaida kama kwenda na kurudi kazini, kwenda na familia ibadani, sokoni, kwenda kuwatembelea wazazi mikoani nk. Hivyo naombeni wataalamu mnipe ushauri wa ni gari gani...
  3. Wa kusoma

    MSAADA UKOKOTOAJI WA MALIPO YA BIDHAA KUTOKA NJE YA NCHI

    Wataalamu naombeni msaada. Kuna vifaa fulani vya michezo ya watoto nataka kuviagiza nje ya nchi. Kampuni iko South Africa wameniambia mzigo utatokea USA na utashushwa Bandari ya Dsm. Bei waliyonipatia wamesema VAT ni excluded na pia masuala ya clearing bandarini ni juu yangu. Hivyo nimeona...
  4. Wa kusoma

    Baraka za Wazazi

    BARAKA ZA WAZAZI Baraka zinazoachiliwa na wazazi wa kimwili baba yako na mama yako,ni nyingi kuliko zinazopatikana kwa wazazi wa kiroho.(manabii nk) Umeshonea suti manabii na wachungaji,baba yako hujawahi kumfanyia hivyo Ni mkarimu sana kwa nyumba ya mchungaji au manabii Nyumbani mara ya...
  5. Wa kusoma

    Chemsha bongo

    NAKUJA IVI Kipofu alikua na mke, kiziwi akawa anatembea nae, kwa bahati bubu akafaham sasa atafafanyaje aweze kumwambia kipofu?
  6. Wa kusoma

    Ushauri kuhusu mabati ya Alaf

    Naombeni kujua lipi chagua sahihi kwa mabati ya Alaf gage 30 kati ya migongo mipana na migongo midogo ipi nzuri kuezekea Nyumba ya kawaida?
  7. Wa kusoma

    Je, Bunge live limerudi?

    Nipo naangalia hapa Uhai Tv ya Azam. Tangu juzi naona mjadara wa bajeti unaonekana live, Je serikali imeruhusu bunge live kimya kimya au ni kwa muda huu tu wa bajeti?
  8. Wa kusoma

    CHEMSHA BONGO

    Baba mmoja alikuwa na mabinti 6/sita na kila binti alikuwa na kaka mmoja. Je? baba huyu alikuwa na watoto wangapi ? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Wa kusoma

    Waziri Mkuu: Wahandisi wajenge majengo kwa kusimamisha matofali ili matofali machache yajenge majengo mengi

    Nimeona kwenye taarifa ya habari, miongoni mwa maelekezo aliyotoa amesema wahandisi wajenge majengo Kwa kusimamisha tofali na sio kuzilaza ili tofali chache zijenge majengo mengi. Kila la heri wahandisi
  10. Wa kusoma

    Video: Hiki alichokifanya mbunge Jasson Rweikiza kushirikiana na wananchi kuua ngedere ni sahihi?

    Kwa video hii napata Shida sana kuelewa kama wananchi wanajua majukumu ya mbunge wao. Mbunge wa jimbo la Bukoba vijijini Jasson Rweikiza kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wawindaji wameamua kuingia porini katika maeneo ya Kemondo wilaya ya Bukoba mkoani Kagera kwa ajili ya kuwaondoa...
  11. Wa kusoma

    Upi ni Mfuko bora wa hifadhi ya Jamii?

    Wadau kuna mtu hapa kaniomba ushauri yeye ni ajira mpya hizi za sasa anahitaji nimoe ushauri wa vitu viwili. 1. Benki nzuri ya kufungua akaunti kwa ajiri ya mshahara 2. Mfuko bora wa hifadhi za jamii wa kujiunga nao. Karibuni kwa mawazo yenu
  12. Wa kusoma

    Msaada matumizi ya whatsap

    Mimi si mpenzi wa story zisizoisha kwenye makundi ya Whatsap, sasa hata hivyo kuna baadhi ya magroup ukijitoa unaonekana mkorofi. Nilikuwa naomba utaalamu wa kuweza kuwa na magroup lkn niwe nimeyaficha msg zikiingia zisionekane mpaka nikiiamua. Msaada Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Wa kusoma

    Walioomba nafasi za kazi VETA usaili ni tarehe 4/9/2017. Majina haya hapa

    Kama uliomba post mbalimbali, tayari majina ya wanaoitwa kwenye usaili yametoka. Baadhi ya nafasi hasa za ualimu wa ufundi bado hawajaita. www.veta.go.tz Sent using Jamii Forums mobile app Au nenda moja kwa moja Vocational Education and Training Authority
  14. Wa kusoma

    Msaada kufungua mfuniko wa simu

    Ndugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, jana nimenunua simu ya TECNO L8 Lite. Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line. Najua hapa wataalamu mpo simu imenishinda kufungua kabisa, naombeni ujuzi huo
  15. Wa kusoma

    Ushauri namna ya kuacha kazi pale unapopata kazi nyingine

    Wadau kuna mtu kaja kuniomba ushauri yeye ni mfanyakazi wa taasisi moja ya serikali sasa amepata kazi nyingine ya serikali pia. Kinachomtatanisha ni namna ya kuacha kazi na kuhamia taasisi ya pili na tayari ana mkopo wa Mil 10 benki. Je akiondoka kimya kimya kama mtoro kuna Tatizo ili mafao...
  16. Wa kusoma

    Angalia ni namna gani Yanga walivyoingia TZ usiku huu

    Najuta kwa nini nimeenda kuwapokea uwanjani. Modes sijui hili jukwaa linafaa au fanyeni kazi yenu si mnalipwa bhana!!!
  17. Wa kusoma

    Shuhudia hapa Mapokezi ya timu ya Yanga leo usiku

    Kama kichwa cha habari kinavyosema, waliokuwepo tumeshuhudia haya!!!
  18. Wa kusoma

    Taarifa ya haraka kwa RTOs Kigoma na Tabora

    Leo tarehe 12/4/2017 muda huu saa tano na dk 50. Gari la NBS kutoka Tabora kwenda Kigoma. Basi hili limejaza kupita kiasi na abiria hawasikilizwi. Kwa sasa gari ndio limetoka Kaliua kuelekea Usinge. Abriria waliosimama ni zaidi ya waliokaa. Askari wa barabarani hawajachukua hatua yoyote. Jamani...
  19. Wa kusoma

    Hapa kipanya sijamwelewa kabisa

    Wadau wa lugha za picha hapa Kipanya kamaanisha nini?
Back
Top Bottom