Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika...
Watu wengi wasiokuwa na mafanikio ni Wale wasio jua na muda. Muda ni mali hawa ni wale wanaoona jua linachomoza na kuzama na pengine wanapenda lizame mapema waende kulala.
Maana hawana cha kufanya fursa hii inakupa kutambua kuwa muda ni maliasili yako ambayo unapatwa kuitumia katika kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.