Habari za jioni wakuu...
Nashukuru sana kwa mara nyingine kwa wote mliyoonesha nia ya kunisapoti (kuniajiri, kunipatia kibarua). Mbarikiwe sana.
Nimefanikiwa kupata nafasi sehemu japo ni ya muda (not permanent) lkn kutokana na kwamba wamenikuta mkweli, (maelezo ya Ujuzi wangu yameendana na...
Wakuu mimi pia ni driver, nina leseni ya Kuanzia class c1, pia ni IT Ngazi ya cheti. Hivyo wenye hotel naamini naweza kuwafaa kwa namna fulani ktk shughuli zao. Naombe ajira.
Bado nina uhitaji ndugu zangu.
Mim ni mpishi mzuri mno ktk sekta mbali mbali naombeni kazi.
Lkn pia niwashukuru wote mliyoonesha nia ya kunipa kibarua kutoka mikoani,na niwatake radhi maana mimi nipo dar es salaam, nina miaka 31,na nina Familia. Hivyo kwa kazi ya muda (temporary) Siwezi...
Habari, husika na cha habari hapo juu.
Mpishi anatafuta kazi, jinsia (Me).
Sifa:
Ana uzoefu wa kupika vyakula mbalimbali vya ndani na nje, michemsho ya kila aina hadi ya mamba! ni mpishi mzuri wa bites, na ni mzoefu wa BBQ, sekera na shawarma.
Nb, hana vyeti, kazi zote hizo amejifunza kwa...
Yeah, mara nyingi mtu kulalamika namna hii ni dalili ya kwamba njaa imemkaba koo... So anahisi wale wahamiaji ndio wanachukua riziki yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halimashauri haiwezi kufanya chochote bila serikali kuu kuamua.
Wangeweka utaratibu kwa hizi tasisi za kifedha zinazoendeshwa na serikali, wakaweka namna rafiki kwa vinaja wasiyo na dhamana kuweza kukopesheka, ili wajiendeleze kuliko kutuacha tukizagaa mtaani, huku tukingojea ajira ambazo hazipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.