habari naomba msaada gari yangu suzuki escudo fundi alifanya overhall sasa baada ya hapo imekuea ni tatizo taa ya od ina blinkimg baada ya kutenbea umbali wa km 1 tu ni shida maana na nguvu inapungua na silence inaenda chini yani rpm inashuka chini gari inazima
Sent from my SM-J510F using...
HABARI VODACOM MIMI NAITWA GODWIN NIPO ARUSHA NAOMBA NIWAULIZE INACHUKUA MUDA GANI MTU KUPATA NAMBA ZA UWAKALA MAANA NINA MIAKA MITATU NAJAZA FORM NIMESHATOA KIASI CHA 10000 KAMA MARA TATU KWA AJILI YA MWANASHERIA KUSAIN LAKINI WAPI MPAKA NIMECHOKA
pole sana ndugu mungu anaweza yote mtegemee yeye na usifanye kusudi la kuambukiza wengine du inauma lakini ndiyo hivyo kuwa jasiri usife moyo
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna hako ka sensor hapo nikikapachika huo waya wake gari inapandisha silence inaenda bila ku kanyaga mafuta nikitoa huo waya inakuwa sawa haiendi yenyewe mpaka ukanyage mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu gari yangu inakuala mafuta fundi anasema inatakiwa ibadilishwa plug maana kama ni nozel nimesafisha tayari lakin bado inatafuna suzuki escudo toleo 1992 1ltr km7 msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Suzuki escudo inakula mafuta kupitiliza 1lit kwa km 3.3 tu nikifanya kupita high way naweza kwenda km240 kwa 21lit tu lakin nyumban ni km5 kwenda na kurudi zinakuwa 10 hivyo nikiweka mafuta hizo 21lit natumia siku 5 tu ukipiga hesabu unajua mafuta yanaenda sana. Na pia kuna hicho kifaa hapo...
Suzuki escudo inakula mafuta kupitiliza 1lit kwa km 3.3 tu nikifanya kupita high way naweza kwenda km240 kwa 21lit tu lakin nyumban ni km5 kwenda na kurudi zinakuwa 10 hivyo nikiweka mafuta hizo 21lit natumia siku 5 tu ukipiga hesabu unajua mafuta yanaenda sana. Na pia kuna hicho kifaa hapo...
na kipindi hicho hicho cha jakaya ndiyo wapinzani walipambana mpaka kuitwa pimbi wakaibua uozo wa serikali mfano epa richmond escrow na mengi mengi tu asante kwa kuleta uharo wako
rudi nyumbani ukalale shujaa feki acha siasa iendelee kura ndiyo itaamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.