Wakuu habarini.
Nina swali napenda kujuzwa kwa mwenye elimu kidogo juu ya ukimwi, nilipenda kufahamu ni mazingira gani ni rahisi zaidi mtu kuambukizwa ukimwi pale ambapo yule asie nao kufanya mapenzi na alie na ukimwi lakini hatumii dawa na aliye na ukimwi na anatumia dawa (ARVs)?
Habarini!
Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga wakiwa pamoja ndani na mpaka sasa mwanaume kakamatwa na yuko polisi.
Je, ni sahihi kijana huyo kushikiliwa na je sheria inasemaje mtu akifa ndani ya nyumba na mkiwa pamoja kwani kwa maelezo ya uyo jamaa anadai yeye aliwahi kulala na mwanamke...
Wakuu habarini.
Tafadhali naomba msaada kwa anae jua bei zilizopo sasa hivi sokoni za mahindi ni shilingi ngapi anisaidie kujua haraka iwezekanavyo.
Ni kwa ajuae bei za Kigoma na DSM
Ahsanteni!
Wakuu habarini,
Kama siamini macho yangu: Hivi ni kweli ninayo yaona? Naona kama Clouds mvuto wote kwisha, na hata tamasha lao la Fiesta halina hisia tena.
Shida ni nini, au ni upinzani uliyoletwa na huyu kijana wa Tandale?
Ushauri: Clouds mmezidisha chuki dhidi ya wasanii na kila siku...
Wakuu nahitaji msaada wa haraka sana wakuu mwanangu ana dalili amvazo wengi wanasema atakuwa na plastic teeth na hata cjui ni nn hiki na nifanye nn kujinusuru
Msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nazani pesa zetu za vifurushi zinaenda tu especially cc wa azam maana tunalipia vifurushi lkn channel nyingi zimezuiliwa hadi sasa kwani tatzo ni nn na lini mwisho wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.