Search results

  1. Mokaze

    Nani aliyegundua dawa ya binadamu inayoitwa Indomethacin? Ni hatari kwa panya

    Yaani dawa ya binadamu iwe ni sumu kwa panya anapoila ??!--- binadamu akiimeza sio sumu ila panya akimeza/akila ni sumu?!!😏 Acheni masikhara.
  2. Mokaze

    Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

    Atawezaje kufanya hivyo wakati inasemekana naye kaahidiwa kupewa share ndani ya DP world !!. Kamwe haiwezekani kwa mtu mwenye akili timamu akaiingiza nchi (Tanganyika) katika mkataba wa aina hiyo, ni lazima hapo kuna jambo la maslahi binafsi. Hatuwezi kusema Rais wetu sio Muerevu asijue ubaya...
  3. Mokaze

    Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

    Rev, Pengo must have a Pengo somewhere, why does he refrain himself from saying all that are supposed to be said publicly on the saga for the benefit of our country ??
  4. Mokaze

    Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

    Huku na kule hayupo maana yake yupo "neutral", hayupo Omo wala tezi hii maana yake yupo ngamani.
  5. Mokaze

    Kuweni makini na mchanga wa kaburini

    Wewe ni mshirikina uliyekubuhu.
  6. Mokaze

    Stendi ya Msamvu yashindwa kulipia hata umeme, ni giza Totoro!

    Madam Faiza, hii kauli yako ni ya mtu aliyekata tamaa kabisaaa, mtu asiyetarajia matumaini kutoka hata kwa Mungu. Mtu anashindwa kuikarabati nyumba yake kwasababu ya shida zinazomkabili halafu anaamua kuiuza kwa mtu mwingine, bila kujali watoto na mke wake, halafu anabaki kukaa katika nyumba...
  7. Mokaze

    Kitabibu nguruwe ni salama au ndo walage tu watajijua wenyewe?

    Tafiti moja nyeti wameisahau nayo ni; Walaji wakubwa wa kitimoto wanayo hatari kubwa ya miili yao kupatwa na hisia za USHOGA na hata kuwa mashoga kamili, katika wanyama wafanyao Ushoga nguruwe madume nao wamo wengine ni jamii yote ya nyani, na hata madume ya simba imepata kutokea wakifanya...
  8. Mokaze

    DP World Australia

    Mitambo kama hiyo tunashindwa kuinunua sisi wenyewe??. Pia naomba niuone mkataba huo wa DP world na hao Wajerumani.
  9. Mokaze

    Chakula kuchanganywa na Mafuta ya taa kwa wanafunzi wa kike Sekondari

    Unajua!!, yawezekana hii ndio chanzo cha wanaume na vijana wengi katika ndoa kukosa nguvu za kiume isitoshe vijana wetu wengi kushindwa kuhimiki kazi za nguvu za mikono, miguu (kama mpira wa miguu, riadha na michezo mingineyo) hii yawezekana ni madhara endelevu (persistent effects) za kitumia...
  10. Mokaze

    Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

    Kichofanyika kwenye huu mkataba hasa ni uhaini.
  11. Mokaze

    Taarifa ya Balozi Dkt. Slaa kuhusu Mikataba isiyo na maslahi kwa Taifa

    Hawawezi kuandika kwa uwazi juu ya suala hili kwa kumuogopa waziri wa habari ambaye ni mtetezi mkubwa wa huu uhaini wa kuiuza nchi yetu kwa Wageni.
  12. Mokaze

    Hivi Bunge letu linaiunga mkono Serikali au linaisimamia Serikali Maana halieleweki

    Bunge lenu wewe na nani??-- au wewe ni CCM??
  13. Mokaze

    Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

    IGA ufe??, Intergovernmental agreements kati ya serikali ya Tz na "serikali" ya Dubai ??
  14. Mokaze

    Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

    Hata kama alifeli hiyo haihusiani na jambo hilo la lugha ya kiingereza, juu ya yote mavi ya jana hayanuki.
  15. Mokaze

    Tanzania yaanza pandikiza UUME kwa Wasio na Nguvu za Kiume

    Wenye akili kwako ni hao wanaoingiza nchi katika mikataba ya kukuuza wewe kima ndani nchi yako kwa Waarabu, Si ndio ??
  16. Mokaze

    Tanzania yaanza pandikiza UUME kwa Wasio na Nguvu za Kiume

    Lakini haiwezi kuizidi mijadala kuhusu Bandari zetu.
Back
Top Bottom