Atawezaje kufanya hivyo wakati inasemekana naye kaahidiwa kupewa share ndani ya DP world !!.
Kamwe haiwezekani kwa mtu mwenye akili timamu akaiingiza nchi (Tanganyika) katika mkataba wa aina hiyo, ni lazima hapo kuna jambo la maslahi binafsi. Hatuwezi kusema Rais wetu sio Muerevu asijue ubaya...
Rev, Pengo must have a Pengo somewhere, why does he refrain himself from saying all that are supposed to be said publicly on the saga for the benefit of our country ??
Madam Faiza, hii kauli yako ni ya mtu aliyekata tamaa kabisaaa, mtu asiyetarajia matumaini kutoka hata kwa Mungu.
Mtu anashindwa kuikarabati nyumba yake kwasababu ya shida zinazomkabili halafu anaamua kuiuza kwa mtu mwingine, bila kujali watoto na mke wake, halafu anabaki kukaa katika nyumba...
Tafiti moja nyeti wameisahau nayo ni; Walaji wakubwa wa kitimoto wanayo hatari kubwa ya miili yao kupatwa na hisia za USHOGA na hata kuwa mashoga kamili, katika wanyama wafanyao Ushoga nguruwe madume nao wamo wengine ni jamii yote ya nyani, na hata madume ya simba imepata kutokea wakifanya...
Unajua!!, yawezekana hii ndio chanzo cha wanaume na vijana wengi katika ndoa kukosa nguvu za kiume isitoshe vijana wetu wengi kushindwa kuhimiki kazi za nguvu za mikono, miguu (kama mpira wa miguu, riadha na michezo mingineyo) hii yawezekana ni madhara endelevu (persistent effects) za kitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.