"Aisee bro leo usipolipa deni lako familia italala njaa"
"Mungu saidia nimepata kura za kutosha AISEE la sivyo nyumba yangu ingeuzwa"
Swali: (i) Neno/Msemo Aisee ni la Kiswahili, kama ndio chimbuko na maana yake halisi ni nini?
(ii) Kama sio Neno/Msemo halisi la Kiswahili, je ni nini sababu ya...
Imagine katika msimu huu wa JK, anajitokeza mtu kama NDULI IDD AMIN na kuanza kuishambulia, Tanzania isiyokua na balance ya mafuta, umeme, reli, ndege na meli zimezeeka.
Je wana JF tutafanya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.