naomba wakuu kama kuna mtu anataarifa zozote kuhusu matangazo ya
interview kwa kazi walizo tangaza mwezi uliopita katika chuo kikuu cha dodoma anifahamishe. Tafaadhali.
Unaju swala la lugha ni kasumba tu. Wachina hufanya kazi hata hawajui kzungu.
Mfano ni pale Udom. wanajenga na kuwasiliaana na wabongo safi.
Ushaidi wanao waliosoma Udom na kusimama kwa majengo yalee.
Hiyo sio lugha mama. Wachina wanatumia kichina wanafanyakazi
mpaka nje ya nchi yao? Lugha nzuri haimaanishi unacontent kiasi gani.
Chuku kilicho muhimu sepa.
1.Mwenzenu nikisikia tu flani kafanya hivyo, kuanzi hapo namchukia kabisa na
sitaki kumtazana hata filam au chochote anachokifanya.
2.Tatizo watu wengi wanmataka sana kujulikana kwa kufanya mambo ya kijinga.
3.Wameshindwa kuamini kama kuna Mungu, na wameshindwa kututangazia ili tujue.
Kama...
Nashukuru sana wana JF kwa mawazo mazuri sana kwa mawazo na fikra zinazoonesha matumaini kwangu.
Ntaendelea kufight kama mlivyonishauri ndugu zangu. Pia nashukuru lile bumu la mwisho nilinunua buti.
Ndugu wana Jf mimi ni Mwalimu wa Geography na History kwa College, A-level na O'level. Naomba mnisaidie kupata kazi.
Nimendika maombi mashuleni mpaka basi, akuna chochote. I have a Bachellor of Arts with Education.(BA-Ed)
Au kazi yoyote inayoendana sifa hiyo niliyonayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.