Mie kama ingekuwa hiari yagu unafukuza wote unabakisha Magufuli peke yake na unaanza upya uchaguzi wa Rais na Wabunge wake maana hilo Bunge ni hasara tuu, Kwanza yanalalalala tuu hapo Bungeni.
Israel ni taifa pekee la lililoteuliwa na Mungu tangu enzi za Abrahamu jamani hii naamini inahusika sana mambo ya kwenye Bible waungwana. Na litaendelea kubarikiwa hivyo hivyo na sisi tutabaki na umaskini wetu mpaka kizazi cha 10,000.
kweli MR President ni mnafki sana ndio maana anapenda kusafiri kuepuka majukumu na kutoa maamuzi ya Nchi yanamshinda. Kusema kwamba sio nyie ni viongozi wa dini ndogondogo maana yake nini kama sio mchonganishi ndio maana alikimbia Monduli sababu ya uchonganishi huu huu afadhali this time...
hahaha yani kweli inaonyesha ni kiasi anapenda safari then hizo pesa anazotumia kusafiri si angenunulia mitambo au angeongezea barabara zijengwe ili watu waondokane na adha ya Foleni. Yani kwa karne hii Tanzania bado maji ni mgao na kuna watu wanakunywa maji ya mferejini wakati Rais anaenda...
HAhhahahaha Viper umenichekesha Rwanda watuache mara ngapi?? Kagame anafanya kazi sio huyu Vasco Da Gama kutwa kuchekacheka kama nini sijui. Usafi tu wa jiji umetushinda.
Duu nimesikitika sana unakua hawa CCM wanahitaji sniper mmoja anakuwa invisible anaua mmoja mmoja kwakweli hawa watu wanatutesa sana Kha. Kalale mahali pema peponi Mahimbo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.