Kuna Hawa wanajiita hekima na maelezo Yao haya hapa chini
VIGEZO NA MASHARTI.
1. MTEJA ATATAKIWA KUWA NA KITAMBULISHO KIMOJAWAPO KATI YA HIVI
(A) KITAMBULISHO CHA TAIFA AU NAMBA YA NIDA
(B) LESENI YA UDEREVA
(C) KADI YA MPIGA KURA
(D) PASSPORT YA KUSAFIRIA
(E) KITAMBULISHO CHA MZANZIBARI
2...
Kwahiyo laki sita kama una laptop tayari unaweza ukaenda kuchukua printer mpya ambayo inauwezo wa kuprint, scanning, na kutoa copy ipo EPSON yenye uwezo wa hivyo.
Kuanzia hapo wateja wako wa kwanza ni wale wanaokuzunguka.
BOT aende kufanyaje Mzee acha kumpoteza mwanzako, hiyo ni biashara huria microfinance hawapangiwi riba na BOT.
UZEMBE: wanaingiaga kwenye mikataba bila ya kupitia wakiona PESA wanasahau kusoma mikataba mwisho wa siku wanakuja kulalamika
Kwanini useme microfinance au bayport ni matapeli kumbuka anayepewa mkopo ni ana akili timamu ndio maana kuna mikataba hujazwa kabla ya mkopo kuhidhinishwa
Fungua kampuni ya ukopeshaji hasa deal na watumishi wa umma kwa maana dhamana ya mkopo atakaochukua ni mshahara wake wa kila mwezi.
pia zingatia riba utakayowachaji ushauri wangu tumia 20% kwa mikopo itakayolipika ndani ya mwenzi na 40% kwa mikopo itakayolipika ndani ya miezi minne...
Kwa akili ndogo unaweza gundua ili kama mapato yetu kabla ya ongezeko la mishahara ni trilioni 1.5.... ni wazi kuwa baada ya ongezeko hata mapato ya nchi yanaweza kuongezeka kwa kiasi kadhaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.