Wakuu poleni na majukum,
Naomba msaada wapi naweza pata hii dawa (dapson tab) nlienda na mgonjwa wangu kwa dermatologist alikuwa na kidonda mguuni akaandika hiyo dawa nimezunguka maduka yote hapa mbeya nimekosa.
Tafadhali msaada
Habali za mihangaiko wakuu. Kumekuwa Na tatizo la ajira tangu 2016 Na kila zikitolewa ni za mafungu vijana tunajikunja kutuma maombi lakini wahitaji wanachaguliwa wachache ,nlishitushwa Na wimbi kubwa la watu waliodawload vyeti vya fani Na kukuta wamekuwa kwenye list ya waliopangiwa vituo nkata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.