Anayetakiwa kufahamu hizo gharama ni wewe unayetumiwa au anayetuma? Kwa maana yeye anayetuma ndio anatakiwa kulipia lakini wewe unayepokea ni swala la kumpatia Acc nr yako au IBAN mchezo umeisha :Ushauri mwengine kama pesa ni kiasi kisichozidi milion 10 anaweza tuu kukutumia kwa WesternUnion...
Mtasema yoooote lakini bado tuu Amerika itabakia kuwa hivyo na Ulaya itabakia kuwa hivyo hivyo hata siku moja utoweza kulinganisha na Afrika, maana hata uwe na mipesa yako Afrika siku umeugua ndio utajua kwanini mtu anaona bora apige box la maisha Ulaya na Amerika,, hoja mbovu sana hii na mara...
Propaganda za Marekani na nchi za Ulaya wanaona mchina anatoboa kiuchumi kupitia Afrika wanaanza unafki, Afrika lazima ujiulize pia miaka karibia 50 hao Wazungu waliifanyia nini Afrika, sasa hivi kaingia mchina Afrika ukienda kila nchi unakuta miradi ya miundo mbinu, reli, barabara ,madaraja...
Tatizo Data ndugu yangu, hao waliowekwa vyeti vinadhibitisha hivyo sasa sisi taratibu za vyeti vya kuzaliwa kujua tarehe gani mtu kuzaliwa tumeanza Mwaka 1960 mpaka leo hii uzao kibao wa watu awajui tarehe zao za kuzaliwa, ukisema bibi alizaliwa enzi za mtemi Mirambo bado aijitoshelezi...
Ingekuwa busara sana ungewatamani wakiwa kwao kama ulivyosema hapo juu, kwanini utake kushea mke wa mtu, wakati unajua kabisa neno lenyewe limejitosheleza MKE WA MTU? sio wako huyo ndugu yangu. Tafuta wako ufurahie maisha.
Tatizo lenu nyinyi wadandia wake za watu ni waaribifu tuu hakuna lolote mnaloweza, mtu kaoa mke wake anamtunza vizuri na kumgharamia kila kitu, wewe unaona kapendeza unaleta tamaa na uroho wako wa kiaribifu, wakati unajua kabisa uwezi kufanya hayo aliyofanya mwanaume mwenzako mpaka ukatamani mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.