Mulugo na mambo ya kijinga,unashindwa kusema mambo ya msingi unaongelea sherehe ya kuzaliwa kweli? tena naibu waziri, eee bwana unatupeleka chaka mkuu,hebu fanya kazi za taifa bwana.
Mtoa maada,uyasemayo ni kweli kw namna fulani lakini kuna askofu katika gazeti la mwanahalisi la jumatano ya leo limweka wazi msimamo wa Pengo kuwa hakubaliani na Lowasa kutumika katika kanisa.
Nape alisema mlete Dr Slaa Arumeru tutamchalaza vibaya,sasa mkaletewa Kijana Nassari kwapiga chini na mbwembwe zenu za matusi chungu nzima.Wapi Nape sema kaka umetulia kama,sasa CCm arumeru ofisi watazifunga wamezoea kula kwa mbunge wao sasa mshike jembe wmende shambani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.