asante mamii na mi kuna muda nakkaa nafikiria hayo na ndio maana sijawahi mwambia tuachana wal nn bado nina nafasi ya kujua ukweli tutakapokaa na kuongea.asante sana mpendwa
thanx much na ndicho nachofanya saivi ni kupishana koridoni kama hatujuani ingawa ni kama inamuuma coz kama anatamani hata anisimamishe aongee na mimi afu mungu ni mwema mi ni mtu wa kujichanganya so m always happy nadhani kama mungu kanipangia huyo its okey bt kama sivyo pia nitamshukuru mungu.
Natumai wote mko pouwa wapendwa wana jf!nisameheni kwa kutoonekana maeneo haya siku nyingi ila mungu ni mwema nimerudi tena,hapa simuongelei mtu wala kuigiza ila hii na yangu mwenyewe imenitokea na inaendelea mpaka sasa please naombeni ushauri wenu wandugu na naomba matusi na kashfa zipunguzwe...
nadhani cha msingi ni ww kumueleza ukweli hata kama utamuuma kiasi gani bt ipo cku ata move on na itabk history hakuna k2 kibaya kama kugombna na mzazi kisa mke au mume u neva knw kwann hawataki bt kaa kwanza na wazazi wakwambie kwann hawapendi umuoe na pia chunguza madai yao kama yana ukweli...
Jamani cdhani kama 2kianza kuchunguzana ni lini w2 wamejiunga na jf ndio 2tasolve matatizo y2 na2mai jf imewekwa na kwa uzuri zaidi wameamua kuweka forums mbalimbali ambapo kunatakiwa kuwe na mada zitakazoendana na hapo sa mnanishangaza kuanza kumponda mwenze2 wakati anahtaji ushauri after all...
hee nilianza kumuonea huruma ila nimemuona ni **** tena yani after yote anayofanyiwa na mumewe bdo anadiriki kutoa hcho kidogo anachopata kumlisha huyo mwanaume kweli?huyu mdada ni wa kuachana nae kama unaweza shughulika na huyo mtoto akatolewe huo uvimbe na huyo mama wa mtoto nadhani ni...
nimekumbuka kowak girls nikiwa 4m3 jamani shule za masista cku hyo kaja kukagua vyoo na bafu kakuta m2 kaacha pedi(Always)bafuni kuuliza wote kima alichofanya akakusanya zote akaweka kwenye ndoo za maji akakoroga ikawa nyekundu then 2kapanga mstari kunawa then unapokea kikombe cha uji unywe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.