Yaani kwa kweli, ninaombea sana ishu ya madiwani Arusha isije kuvuruga CDM, wananchi waelewe tu kwamba chama hakiwalei watu wanaokiuka utaratibu na kufanya mambo kinyume na utaratibu tuliojiwekea!
Cheki katika Nova Tzdream -
Katika hali isyo ya kawaida mbunge mmoja wa CCM anadaiwa kupiga magoti mbele ya watoto ili kumwombea msamaha diwani mmoja ambaye wananchi wanamtuhumu kujihusisha na ufisadi tovuti yako hii inakuletea mkasa kamili.
Duru za habari za kitafiti zinamtaja mbunge wa Ludewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.