Tangu wamahamia makongo na TV nimeweka store. maana no signal no service. Wanatunyima haki yetu ya kupata habari na serekali yetu isiyosikia imekaa kimya!!!!!!!!!! hayawahusu wao wana DSTV. tutajiju na umaskini wetu.
Shost mbona km mm nina mkasa huo huo, wengi nawazidi miaka 8 mpaka 12. lkn kwangu nahisi ni kwasababu ya Umbo dogo lkn kwa sababu ya kauwezo wengine wanafata kulelewa kama alivyosuggest member hapo juu. mmh kazi ipo!
Ni kweli cha msingi ni kuhakikisha chama chetu kinaendelea na kuwa imara hasa baada ya kuwashuhudia New year kule Monduli kama ni wepesi kama karatasi.
Viongozi wahusika mpooooooooo ? Ikiwezekana libatilishwe na kuundwa baraza Lingine litakalokuwa kwa ajili ya wananchi wa kata ya Mzimuni na si kwa ajili ya maslahi ya watu fulani na hasa wa wachama tawala na kuwanyima haki wananchi wengine kwa kuangalia itikadi na vyama na uwezo wao.
Ni kweli mi mwenyewe nilishuhudia alipoenda kwenye ufunguzi wa upanuzi wa kiwanda cha saruji, Wazo. alipokuwa akiondoka mbebaji alikimbia nacho kidogo adondoke maana gari inayokibeba inakuwa mbele kwenye msafara. Uchawi mtupu.
Tatizo la mafuta:
Hatimaye Tabata maeneo ya Mwananchi, wananchi waziba barabara wakishinikiza sheli iuze mafuta, nakufanikiwa kuweza kupima mafuta na kukuta Diesel ipo ila Petrol imekwisha wakisimamiwa na Askari wa FFU, askari mmoja aliyejitia kimbelembele wa kutuliza ghasia kapigwa jiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.