Search results

  1. P

    Nashangaa!?

    haya jf nami ndio huyoo, ashukuriwe asionekana kutupima pumzi,kwani wengine wamefunga matumbo kutengeneza figa, wengine kwa njaa ili ifike kesho, ;Kikubwa pumzi.
  2. P

    Kuoa wake wanne ni ushujaa, tamaa ama mahaba? - Kibonde

    jamani kwani watafiti wanasema unatakiwa unaniiii mara ngapi kwa mwaka, then tugawanye tuone. Kama vp wagawane hichohicho kuliko kuranda na njia kutaft,je wakikosa si watamaliza mwaka
  3. P

    Usicheze na ajali ya mafuta, we acha tuuu

    kama kutakuwa na makosa katika uwasilishahi majibu ujumbe, basi nisamehewe kwa kuwa leo ndio kwanza moja siku katika jamii hii kubwa. Aksanten nyote.
  4. P

    Usicheze na ajali ya mafuta, we acha tuuu

    sitaki kuamini nilichokiona, sasa ni kama wamevaa sare? Ok mungu atuepushe jamani, nawatakia heri Jf wote.
Back
Top Bottom