Pascal nimekuelewa sana. Wewe ni philosophical figure. Nilikuwa nataka kuharubu na kiments kadhaa ila nikabaini busara ndani ya huu uzi. Nami nijifanye mwanafalsafa kidogo. Tutegemee mema. Rais anaanza kutambua sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa halina shortcut na halina mpango wa kwenda na wakati. Kanisa limekuwekea taratibu. Ukishindwa kuzifuata kaa kimya au hama tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani kiingilio cha tsh 3000 kidogo? Unawaza kwenda na familia ya watu wanne unasema hapo imekata elfu 12. Vyakula ghali, bidhaa ghali, usafiri shida... Mtu anaamua kusema ataenda kumalizana Kariakoo. Wachawi wao wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.