CUF na Chadema ni tofauti sana. CUF ina mtandao wa matawi na wanachama wake wapo matawi wakati Chadema wanachama wake wapo makanisani hawawezi kufanikiwa mpaka wapate support ya maaskofu hili ndio tatizo la CDM.
waumini wa kanisa Katoliki wa Parokia ya kapalapala wilayani Chunya wametakiwa kumtambua Rais Jakaya Kikwete kuwa mwakilishi wa Mungu. Paroko wa Parokia ya Mlowo wilaya ya Mbozi. Padre Valelius Mandanje alitoa kauli hiyo Jumapili katika ibada Maalum ya Jubilii ya Paroko wa Parokia ya Vwawa...
Tupo msibani hapa mburahati kuna kijana inasadikiwa kijana wa chadama anaitwa Okada aliuawa kwa kupigwa risasi na mjini igunga siku ya kutangaza matokeo ni kati ya vijana waliokuwa wanafanya maandamano kabla ya matokeo kutangazwa na inasadikiwa kuwa ameishazikwa ambapo leo wanandugu walifika...
Akiongea baada ya kuulizwa na waandishi wa habari mbunge wa ubungo John mnyika amekiri kuwasili kwa vijana hao akidai kuwa wamekuja ili kulinda kura wakiwa katika coaster 10, tunaomba jeshi la polisi liwe macho na vijana hapo sisi tunatambua lengo lao ni kwenda kuvuruga uchaguzi.
wakiongea na kuwasiliana na masheikh wa mkoa wa tabora katika kipindi maalumu cha Radio IMANI wamesema kitendo alichofanya said kubenea kwa kuandika habari isiyokuwa na uhakika huku ni kuudhalilisha uislamu, katika habari "DC Fatuma kimario si muislamu" wamesema kwanza mwenyewe aliishasema "kwa...
waislamu tofauti nchini wanaendelea kulaani kitendo cha wabunge na wanachama wa chadema kumvua hijabu DC bi Fatuma kimario, wakiongea leo baada ya swala ya Adhuhuri katika msikiti wa Idrissa wamesema kama wao walimtuhumu kuwa alikuwa amevunja sheria kwa kufanya kikao wangemkamata si kumvua...
Naibu katibu mkuu CUF Zanzibar Ismail jussa Ladhu ameongeza msafara wa mawaziri wa CUF na wabunge wa chama hicho kuelekea igunga. Akiongea na waandishi wa habari mjini Igunga Naibu katibu mkuu Julius Mtatiro amesema kuwa tokea tuanze kampeni 13.09.2011 zilizofunguliwa na Mwenyekiti Prof Ibrahim...
Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA limewataka viongozi wa chadema kuwaomba radhi waislam kwani kitendo walichokifanya wabunge wake ni udhalilishaji dhidi ya uislam kufuatia wabunge wake kumvua hijabu DC Fatuma kimario kwani udhalilishaji waliomfanyia ni kama wamewadhalilisha waislam wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.