kwa upande wangu sijawahi kutumia umeme wa zaidi ya unit 75, na nimeshawataarifu tanesco waniondolee service charge wamekataa na nimemaliza mwaka sasa bila mafanikio yoyote. Inaumiza sana.
ha ha ha haaaaa.... TANESCO, mlikuwa wapi mda woteeee, watu wanaiba umeme mnashangaa.... Sasa fanyeni kazi, sio kubaki kulimbikizia watu bili na kuwawekea viwango ambavyo wateja hawastahili kulipa....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.