kwanza nianze kwa kusema Kuwa nimesoma jitihada zako, na zinatia hamasa sana,
nafahamu kuna kijana mmoja alijaribu kuwalimia with pale morogoro miaka ya 2014 hivi, hakufanikiwa na sasa trekta lake kalipaki kama Gofu , huku akiwa anatumia vyanzo vingine vya mapato kulipia deni la mkopo wa...
Kijana mwenzangu Nape, Hakika CCM kina kazi kubwa mbele yake,
1 CCM Inashitakiwa kwa wananchi kwa makosa yafuatayo
Imeacha kabisa siasa za ujamaa na Kujitegemea ambazo ndizo siasa za kidugu
2 CCM Imeacha kuisimamia serikali hivyo kusababisa rasimali za nchi kufujwa
3 CCM imeruhusu gulio kubwa la...
haya bana hebu tuelezeni vyema maana hili jeshi letu ndo la kulinda mai zetu na usalama wetu, sasa hawa makamanda wake mbona hivyo?
Halafu hii taarifa ya Jeshi kukinzana na hali halisi ikoje?
au ndio Intelijensia hiyo?
Huwa ukweli haujifichi, mimi nahamu kujua lema aliwekewa dau la sh ngapi? Ili asaliti wana mageuzi
pia lema hajatuambia hao wafanyaiashara aliopewa na mkubwa wa kumsaidia kama angekubali dili ni wakina nani?
Na je wanalipaga kodi kweli?
Ngoja hapa tutajua mengi hebu na tusubiri tuone
Pia tungeweza pata kujua CCM walitumia sh ngapi na CDM sh ngapi ingeleta pia maana kwa siku za mbeleni,kujua Goliati alikuwa nani na Daudi alikuwa nani ktk hili!
Mwalimu aliwaasa ccm kuwa wakikumbatia viongozi wabovu watalia kilio ambacho watamkosa wa kuwafuta machozi, candiDATE WA CCM ANAKAA KAWE, YULE KANDIDETI WA CCM ANAYEITWA KAAYA ALIPIGWA CHINI KIMIZENGWE SASA UNATEGEMEA NINI, HUU NI USHUNDI WA HAKI KWAMBA HATA VITISHO NA NGUVU ZA FEDHA HAVIWEZI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.