Bwana Kabila01, sijawahi kukariri katika maisha yangu. Nilichouliza ni anazifungaje? Taarifa haijasema atamobilize resources. Wewe ndio unamjibia au unampa wazo? Na hilo wazo la harambee amelisema yeye au wewe? Mimi sipo kisiasa humu napenda kufahamu means ya utekelezaji. Wewe unaongea resource...
Mzee huyu na muheshimu sana ila linapokuja swala la matokeo huwa naugua. Jirani safisha cheti aise fanya hata ile wanaita private candidate PC utakatishe.
Chakii issue sio selfishness ninachokisema kipo, akiwahi mtu akaweka copyright kwa ajili ya biashara hawa jamaa hawatakuwa na uwezo wakuadhimisha jinsi wanavyoamua kuiadhimisha sasa. Kumbuka watanzania tunafeli kwakuwa si aggressive this is a business world ni lazima kujihami. Subiri itakapokuwa...
Naona idea ni nzuri, ila utahitajika kusoma kwa bidii maana mwisho wa siku ukiharibu japo sikuombei wasiwasi utarejea pia kwenye hizo elimu za mwanzo ulipataje. Una basic knowledge za economics hasa micro na macroeconomics pia managerial economics bila shaka hivyo naona ni maamuzi ya msingi...
Vyuo vingi vipi? Hakuna chuo kikuu cha uma kinachochukua mtu mwenye GPA <3.8 kwa nafasi ya TA na 4.0++ kwa AL kwakutumia harmonised scheme of service ya 2013.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.