Hivi mnajua kuna kundi la watu linaitwa Average students,hawa ndio haoa wa lower 2nd na few of upper...ndio wanasifika kwa team work na efficiecy makazini.....fanya tathmini ulipo ww 4 prove.
Ngoja nikushauri ndugu yangu,
Tafuta mtu specialist wa hiyo secta(ICT)..uwekeze kwake..bt sio wewe ufanye kwasababu it s proffesional task. Sio rahisi kama unavyodhani coz dah..rangi ya blu kiucreate tu unajua code zake?
utadata aisee,Acha mganga,agange aisee!
Tafiti imefanyika kuwa watanzania 75% wanaoishi England nia kutoka TZ-zanzibar...sio hivyo tu 62% ya watanzania wanaoishi USA ni wa jamii za kihaya na wachaga.
JE MAAFISA WA BALOZI ZA US NA UK NI TRIBALIST?
Cha msingi tukubali kwamba katika kila jamii matabaka yapo hata kwa hao wahaya,wachaga n.k..
Pili kila jamii ina character zake...mfanoa pitia Majeshi yetu utaona watu wa asili flani ni wengi zaidi,Mabenki,Vyama vya michezo, Hata watawala wetu wa local gvnts,VEO's,WEO's n.k Madaktari na...
Ndg yangu na wamasai wasemeje wamechoka kulinda?
Kumbuka tulipata waziri mkuu mmasai....
cha maana kisomo ndio mkombozi.
Bila kisomo kaz za oficn coishu ila ishu ni kaz gan utafanya(responsibilities)
kuna wanapata kaz za ofcn lkn kaz yake ni kufungulia mlango wageni tu..Hapo niaje?
Nenda...
I belive in people's power. No need of violence..we live in th society,lets tak our chances & update our fellow Tz'ans who ar blinded by the system..so whn comes 2 elections we do the right thing 4 majority succesion.Together we can. They use us so they can win..Now we hav to deny being used &...
Nice move mdogo wangu....bt kuna microfinance kibao ambazo u can volunteer so u can gain more on workin environment...hapo sasa unaweza pata mwanga wa kujiajiri..elimu daftari inatofauti sana na mazingira hucka...mwenye pesa hata ukampelekea idea nzuri vip bt ataangalia uzoefu wako ili acongeze...
Tatizo kuna watu wana cjuihata niwekeje.....we mtu kununua gari mnapooonda baada ya kumpa big up kwa hatua aliyopiga ckuhizi gari sio anasa ni basic need......so wewe/nyie co kwamba hamtaki kumiliki bali mnakua wavivu kugungua opportunities za kuwaongezea kipato ili kuafford needs zenu...
Bado sijapata jibu,
1)when was interview?
2)Short listed walitoka kwenye gazeti gani?
3) Wameanza lini kazi,
Sio kwamba niliaply au kuhitaji kaz bt kuna utafiti naufanya juu ya hizi gvt agencies na wizara juu ya ajira zao tusaidiane kuondoa urasimu...nipeni info wadau.
Katika kipindi hiki tuweke siasa na ukereketwa wetu pembeni tuungane kuomboleza pamoja.Tanzania ni moja,Janga ni letu sote...... Rai kwa vyombo vya habari vizingatie uhuru wake,vitupe taarifa sahihi...nasikitika kuona CNN na BBC vinatoa details kiundani while vyakwetu havifanyi hivyo....Mungu...
Ninasikitishwa sana na maoni na matarajio haya....
Je nilini Africa iwe moja kama Taifa?
Ambapo tutakua na sauti yenye ngungu na moja yamajaifa makubwa duniani kwasababu we are the engine of West & East industries.(raw materials)+ we have all factors of production in here.
AMERICAN DREAM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.