Wadau naombeni wenye uelewa na hizi sarafu anidadavulie zina maana gani, nchi zilipotokea na thamani yake.
Najua jukwaa hili lina wataalamu na wabobevu wa mambo mbalimbali tena kwa kina.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.