Habari ya majukumu,
Mimi ni mpya kwenye kilimo, Mwaka huu nna mpango wa kulima Mahindi, hekari 20 maeneo ya KwaKonji Handeni
Mpaka sasa tumeshafanikiwa kung’oa visiki, na kusafisha shamba tayari kupitisha trekta
Nahitaji kuongozwa vizuri, nijue ni wapi pa kuanzia ili niweze kupata mavuno...
Wadau, nmepata kikohozi zaidi ya wiki tatu nimepambana na ampiclox dozz imeisha ngoma bado ngumu, nilikunywa na syrup ya actifed na methoded bado. Nimekutana na jamaa wengine wawili wana story kama hii, ni upepo gani umepita Dar safari hii..?
Wanajukwaa
Naomba mwongozo kuhusu kichwa cha habari!
Sheria inasema hizi sticker zibandikwe wapi?
Leo traffic kanikamata, nimebandika kioo cha mlango wa kushoto, akaniambia inatakiwa bandikwa kioo cha mbele!
Nmewahi kusoma kuwa zinatakiwa bandikwa upande wa kushoto, hawakusema kioo cha mbele...
Kuuza tkt ni ngumu fastjet, labda utumie ujanja wa ku fake ID card with the same name, issue ingine ni jinsia, kama ni tkt ya Mwanaume ni ngumu kumpa mdada, maana kuna initials kama Mr/ Miss/ Mrs etc...
Jaribu kupata travel agent mwenye mteja wa kesho Kili anaweza akakufever ila ki ufupi ni ngumu!
Mimi naweza nikamuuzia mtu mwingine kwaio la muhimu ni muhitaji, mjini hapa! Kila kitu kinawezekana! Anayejitaji anitafute nimuuzie ticket ya tarehe hizo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.