Wadau kwema? Nimewahi kuapply ajira za waalimu japo uhitaji ulikuwa ni wa sayansi na mm ni arts, bt sikupata, ilikuwa ni 2018,nauliza je kama sitaki kuapply hizi za juzi maombi yangu ya zamani yanaweza yakazingatiwa?? Coz kwa sasa sipo tayari kuingia kwenye hizi ajira na sitaki kuapply. Ni hyo...
Habari wakuu, naomba kuelekezwa njia nyingine ya kusave documents, picha, vitabu etc ukiachana na Google drive au kwenye email, Google drive nilikuwa naitumia mara kadhaa bt naona kama iko complicated sana now days, ukiattch kitu sometimes kinaload tu mda mwingi bila kujisave.
Habari wakuu hii site inasifika kwa kupata movie au series kwa mb chache,bt kuhusu quality ni mbaya sna sijajua kama mm ndie nakosea nilijaribu kupakua season ya see episode moja kwa kwa option yao ya quality ile ya kwanza kabisa juu lkn bado ilionyesha ukungu sana na maandishi kuyaona ni issue...
Habari wakuu,
Huwa naisikia UTT Amis kupitia mifuko yake ambayo ipo takribani sita, wekeza maisha, watoto fund, umoja fund, bond fund etc.
Je, kuna mdau yoyote ambae ni member wa UTT anipe ufafanuzi zaidi?
Natanguliza shukrani.
Habari wakuu, natafuta laptop used, kabla ya hilo naomba kupewa abc na wataalam kuhusu pc nzuri na yenye storage ya kutosha,
Budget yangu ni laki 250000 - 300000.
So wanajukwa naomba kueleweshwa zaidi na ikiwezekana kama kuna mdau ambae anayo tufanye biashara.
Mjadala wote ni hapa hapa jukwaani.
Aisee kama wewe ni mpenzi wa kusikiliza redio basi fungulia Choice FM hutojutia.
Ni ngoma juu ya ngoma na watangazaji wake wana Vibe kinoma noma
Kule hakuna siasa wala matangazo ya mara kwa mara kama mawingu FM.
Moj, Titi, Masta Tindwa na wengineo, salute kwenu.
Kijiwenu kwangu kila siku ndo...
Wakuu kuna hii application ya movie box mdau mmoja aliiletaga hapa, app iko vzr sana, ila sijajua namna ya kudowload muvi au series ikiwa na subtitles zake, au subtitle kwa ujumla, kwa anaejua msaada tafadhal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,
Nilitoka matembezini kidogo na wife ambae ni kijacho sasa kutokana na hizi mvua tukapanda bajaji ambapo barabara ni mbovu kweli kweli na makorongo ya kutosha, japo tulienda salama na kurudi salama lakini naomba kujua je ni salama kwa mjamzito?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haloooo hii stesheni ni moto wa kuotea mbali wakuu, ni mwendo wa ngoma kali mwanzo mwisho, mchanganyiko na ngoma kibao za zamani hasa bongofleva, itafute utafrahi. Clouds, wasafi tupa kule.
Nilinunua line ya tigo ya chuo juzi na kuisajili kwaajili ya internet tuu, niliambiwa kuwa ukiweka 2000 unapata 4gb kwa wiki, kweli baada ya kuikamilisha menu ilikuwa hyvyo na niliunga, sasa leo naicheki tena haipo, vp wakuu kuna menu yoyote zaidi ya tigo ya kupata gb za kutosha kwa wiki kwa...
Salaam wakuu,
Hivi kuna dawa yoyote ya kusafisha tumbo/ kusababisha kuharisha?
Jirani yangu ameniomba nimshauri lakini nikatoka kapa, anadai anapata choo kwa taabu sana, nimemshauri anywe magnesium ila sina hakika kama zinasaidia. Masaada tafadhali.
Nia anataka dawa itakayomsaidia...
Mnyama jana kaonesha unyama wake, kadhihirisha kuwa yeye sio mzee,
Zidane ili arudishe makali ya Real basi hana budi kumrudisha huyu mnyama kwa gharama yoyote ile, pengo la mnyama ni kubwa mnoooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jahazi lipo hewani sasa wakuu, day one bila Efrahim kweli maisha yetu mafupi na hatuna budi kujikabidhi kwa Mungu kila wakati kwani hakuna ajuae siku wala saa atakayotwaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua wakuu, nilifungua kaduka kadogo mwaka jana desemba, nikisubiri January ili niende kufuatilia tin namba na leseni fremu ni banda la mabati. , sasa ukaja huu mchakato wa vitambulisho vya wajasiriamali nikaona nichukue kitambulisho tu na nisifuatilie tena tin wala leseni, je nipo...
Wife ni mama kijacho wa miezi takriban mitatu sasa tumehesabu kuanzia period yake ya mwisho yaani alipoanza tarehe 18 /9/2018 mpk sasa. Hii ni mimba yake ya kwanza, ameenda leo zahanati flan kufanya ultrasound wamemuambia kuwa kanaonekana kwa mbali mno na wakamuuliza hujawahi kutoka damu...
Habari wakuu, nahitaji kufanya booking ya fastjet au kampuni yoyote nafuu kwa safari ya April mwakani Mungu akipenda from dar to Mbeya.
Nataka ni book mapema nilisikia ukibook mapema zaidi garama huwa ndogo sana, so naomba munisaidie ushauri na namna ya kubook online pamoja na gharama yake kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.