Akiongea na wakazi wa Mbeya Jimbo la mbarali amesema nilichukua fomu kimya kimya na wala sikuwa na wapambe zaidi ya Dereva, wala sikumuhonga mtu hata mmoja, anayesema nimemuhonga ainue mkono juu? Hakuna hakuna makofi uwanja mzima,
Ni kijana anaependwa na Wana Tandahimba japo 2010 na walimpora ushindi wake lakini mwaka hawataweza kupora au kuiba kura zake maana ni zaidi ya 90% ya wanainchi wa tandahimba wanamkubali Kama mkombozi wao, shuhudia Jana barabara zilipo fungwa alipoenda kuchukua fomu utadhani lowasa amekuja...
Safi sana sheikh Sanze, huyu Lowasa ndiye aliyesimamia memorandum of understanding(mou) Kati ya KANISA na serikali. Wabunge wa Chadema CCM NCCR ndio waliopinga mahakama ya kadhi, lini Chadema walikaa na kutoa kauli ya kulani sheikh ponda kuwekwa ndani? Wao kwao ni kicheko
Ndio amekuwa mtoaji wa maamuzi ndani ya Cuf kwa kuingilia madaraka ya mwenyekiti hili ndilo lililomuondoa Prof Lipumba katika uenyekiti, ameua cuf bara kwa maslahi Zanzibar, ruzuku ya chama yote kwa 80% imepelekwa zanzibar.
Prof Lipumba alikuwa anataka kujua maslahi ya cuf ndani ya ukawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.