mimi ni mwanafunzi wa kiume wa UDSM mwaka wa tatu naomba kama kuna mwanafunzi anaweza kunibeba au kuniuzia room Mabibo Hostel anaweza kuni-pm. Ni kijana safi tu, mpole. Thanks in advance wakuu
Ipo katika hali nzuri ila ina tatizo la camera haifanyi kazi,kwa yeyote aliye-interested apige 0712235965...ina 8gb,bei ni 250,000,ila inaweza kupungua..napatikana Arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.