Kwanza hamna Silaha inayoitwa SMG
Bali SMG ni .kundi la silaha za aina fln za upigaji.
Yaan SMG uzi gun
SMG Ak47 nk sasa wewe ulikuwa unamaanisha nini ulivyosema SMG? Na mara luten mara sajent. Aliyehariri story yako hajahariri vzr
Wewe na nani mliwapa?
IQ kubwa unakuja kulalamika huku mitandaoni. Njooni vijijini tulime huku au ufanye biashara ulipo. Sio kila siku ooh police or wabunge. Ungeenda ww police ili tuione hiyo IQ yako. Au ungegombea ubunge. Tufanyeni kazi vijana wenzangu tuache kulalamika lalamika mitandaoni
Hongera sana Askar kwa kufanya kazi iliyotukuka. Kama raia alikuwa na nia ya kumjeruhi askar mwenye bunduki maana yake alikuwa anataka kumnyang'anya askar bunduki. Nadhani askar kafanya kaz nzur sana. Apigiwe makofi tafadhali
Mimi nijuavyo gari nyingi ni mbovu, hawa jamaa wakiamua kukomaa cc wa magar ya mchanga ndio tutaumia zaidi. Lakini kama mtu hauna kosa why utoe rushwa?
Mara Nyingi rushwa inakuja pale ambapo dereva anamakosa bt anataka asamehewe. Ndio ile kufa kufaana.
Yote kwa yote Rushwa ni mbaya sana
Nenda Kituo cha police karipoti ajali, then kwakuwa una mpaka namba ya gari iliyokugonga utapata haki yako. Sheria inaelekeza vzr namna ya kushughulikia gar za police zilizopata ajali
Mimi nadhani tuanze kuwaambia wenye magari waweke magari yao vzr ili wasiwashawishi vijana weir.
Wakiamua kuwaandikia kwa kila kosa wanalolikuta haitapendeza sana. Acha wivu
Sio sawa kisheria Waislam wanathibitisha na wakristo wanathibitisha.
Muislam anaanza na maneno Wallah wabillah watallah mimi Mpare mweusi nathibitisha......
Mkiristo anaanza kwa kusema
Mimi Msukuma mrefu naapa....
Msingi wake ni kuwa muislam hawez kuapa mbele ya binadam mwenzake
Bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.