we mkurya wa wapi?
Watu wanapaza sauti za ukombozi na sio kelele.
Wewe unataka kusema ndo wanaopga makelele?leta hoja humu,sio kwa vile nyangine(bosi wako) mwoga wa kutetea wananchi nawe unaleta sera zako za uwoga humu.
Nakushauri ukaondoe kathread kako!!
<br />
<br />
Daah! Sasa nikauelezeje my moyo?
Bahati ya kukukosa si bahati,hope u knw ni gundu.
Bt mungu ataniletea tu,ukiachika nitakuwa tayari ku play your hubby part.
Natanguliza thenx.
wanaovaa makoti meupe wote sio madokta,
Wengine ni wauza nyama.
Ff mzee kama anamiaka thelasini ktk ndoa na kama aliolewa na miaka20 inamana ana miaka50.
Ushauri:punguza majungu na ulee wajukuu zako.
nikipigiwa cm na my njuli tukianza agana utasikia:.
My njuli: honey
Mttmagwanda:yes me lov
My Njuli: i love you magwanda
Mttmagwanda:i love you more me love.
Nani anasema latumika vibaya?
Aaaagggrhh!
jamani mi na my best friend,my homeboy, anaenda state mwisho wa mwaka huu au mwanzoni mwa mwaka ujao.
Na mapenzi hayahaya ya kwenye mtandao,sasa wanaobeza mapnz ya kwenye mtandao wanataka kuniambia nini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.