RAIS MAGUFULI S. AFRIKA NA NAMIBA.
Watanzana kufundisha Kiswahili S.A na NAMIBIA
Katangaza ATCL kwa kusafiri nayo
Katangaza vivutio vya utalii kwa kugawa picha na vinyago.
Katangaza fursa za wageni kuja kuwekeza Tanzania.
Kakuza urafiki na mahusiano baina ya nchi hizi rafiki
wewe utakuwa pandikizi kutoka bujumbura kwa kweli sasa wabunge wapige kura ya kutokuwa na imani na Spika kwa hoja gani ya msingi, tusipende kukuza vitu visivyo na tija kwa Taifa. Tukumbushane tu kuwa Azimio la Bunge ni kutofanya kazi na Profesa Asad na si CAG
Heading yako; Unamweleza Askofu asimpe Utukufu Rais!!,ni kwa Namna ipi kauli yako hii!!?,Aliyoyasema MWANRY (SIYO RAIS) unamhusishaje Askofu kumpa Rais Utukufu!!!?,mwisho unakwepa Jukumu la kuchunga kondoo kwa Mafundisho kama haya!,bado unamtaka mheshimiwa Rais afanye afanye kazi hiyo!!,TIMIZA...
WAKATI WA NYERERE HADI MZEE KIKWETE WALIKUWEPO WATUMISHI HEWA...WAKATI HUU WA MAGUFULI WAMETUMBULIWA!, WAKATI HUO MADINI YETU NA MALI NYINGINEZO ZA NCHI ZILIIBIWA ....WAKATI HUU WA MAGUFULI WEZI WOTE WAMEKAMATWA WAKO GEREZANI NA WENGINE WANAENDELEA KUFILISIWA!!, WAKATI HUO HAPAKUWEPO NA MITANDAO...
Kweli nimeamini watanzania ni wanafiki. yaan ni wa kwanza kulalamika kuwa mambo yanaendeshwa kimya kimya bila wananchi kujua. Sasa Rais akijaribu kuwaeleza kinachojiri ndani ya nchi yenu hamtaki mnalalamika tena. Yaan kwa kifupi hamna jema. Ila mmefeli mtachonga sana na bado atatoboa tena 2020.
kapro shivji kadogo shikamoo ngoja niendelee kusoma na kuelewa
"CAG atawasilisha kwa Rais kila taarifa atakayotoa kwa mujibu wa masharti ya ibara ndogo ya (2) ya ibara hii JMT ibara ya 143 (4) "
Yaan watu wenye stress za maisha utawajua tu. sioni hata kimoja chenye mantinki eti ajira hakuna watu wanakufa. Yaan akili yako yote ipo kwenye kuajiriwa badala ya kujiajiri hiyo ni roho ya kimaskini. Nani anayeweza kufa kwa kukosa ajira? huna jipya jipange hapa kazi tu
Serikali ya JOHN Pombe Joseph Magufuli iliahadi wakati wa uchaguzi 2015. Na haya ni baadhi ya mafanikio ya JPM,
Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR )
Ujenzi wa bwawa la umeme Stigler George
Ujenzi wa Mfugale fly over (TAZARA).
Elimu bure kuanzia Shule ya Msingi mpaka Sekondari
kafufua shirika la...
kama korosho zilizorejeshwa ni zenu sasa mnalalamika nini ? hii inaonyesha mmekuwa mkifanya udanganyifu wakati wa ukusanyaji ghalani kwa kujiandikia daraja la kwanza. acheni kuingiza siasa pambaneni na hali zenu.
Barrick Gold Corporation ambayo ni mwanahisa mkubwa wa ACACIA imeahidi kuilipa serikali ya Tanzania Bilioni 682 mwezi march mwaka huu, fedha hizo ni fidia zilizotokana na upotevu wa mapato katika biashara zinazoendeshwa na kampuni ya ACACIA. Kinachosubiriwa ni utekelezaji wa makubaliano ambayo...
China inasema kuwa inaiunga mkono serikali ya Tanzania kuhusu hukumu iliyoitoa kwa Bi Yang Feng Glan raia wa China anayejulikana kwa jina la "malkia wa pembe za ndovu" kwenda jmiaka 15 jela baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo..
Msemaji wa Wizara ya...
Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansina Teknolojia imeweka kipaumbele kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kuhakikisha miundombinu ya shule ambazo zinachukua watoto wa kundi hilo zinapewa kipaumbele katika kuboreshwa, kununua visaidizi vya watoto wenye mahitaji maalum ili waweze kusoma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.