Hata kabla sijatangaza kuwa naoa, nilikuwa na hofu kuhusu Ma X zangu wawili, nilijua kutokana na Ukaribu wa familia zetu lazima habari zingewafikia na lazima wangekuwepo siku ya Harusi yangu.
Kilichokuwa kikinipa mawazo ni kwamba hawa Ma X zangu hatukuachana vizuri. Halafu akili zao mbovu...
Hata kabla sijatangaza kuwa naoa, nilikuwa na hofu kuhusu Ma X zangu wawili, nilijua kutokana na Ukaribu wa familia zetu lazima habari zingewafikia na lazima wangekuwepo siku ya Harusi yangu.
Kilichokuwa kikinipa mawazo ni kwamba hawa Ma X zangu hatukuachana vizuri. Halafu akili zao mbovu...
Tukiachana na ule uzi wangu wa “Nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu wala rafiki” Leo nitawaelezea safari yangu ya kwanza nchini Botswana na nilioyaona na kujifunza huko.
Kwa mara ya kwanza niliingia Botswana kupitia Boda yake na South Africa, kupitia mji mdogo wa Zeerust.
Nakumbuka...
Wakuu Nisiwachoshe sana
Nazungumzia mafanikio ya kweli katika maisha, sio mafanikio ya janja janja. Mafanikio ya janja janja ni kwamba leo una pesa nyingi, magari ya kifahari halafu baada ya miezi/miaka kadhaa unarudi tena kwenye maisha ya kuungaunga\kukosa pesa.
Ndugu zangu kama unataka...
Wakuu nina uhitaji wa kununua taa zile za Chemli ndogo, nimefika Kisutu, Kariakoo na Kwa Iringa nimefika Miyomboni, taa nyingi ninazokutana nazo ni zile kubwa. Mimi nahitaji kupata ile size ndogo,
Ni Kampuni ya Wachina ipo Mikocheni Dar, wanahitaji Store Keeper. Awe na Working Experience kwenye Store. Kama uko interested na una sifa hizo hapo juu naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com. Kuwa tayari wakati wowote kwa Usahili. Ahsante sana
Ni Kampuni ya Wachina ipo Mikocheni Dar, wanahitaji Accountant wa Kike. Awe na Degree na awe amemaliza chuo Mwaka Jana. Kama uko interested na una sifa hizo hapo juu naomba nitumie CV yako kwenye Email hrfbde@gmail.com. Kuwa tayari wiki ijayo kwa Usahili. Ahsante sana.
Kila mtu katika maisha kuna kitu anapenda, kila mtu ana tafsiri yake ya maisha na jinsi ya kuyafurahia maisha. Toka nimerudi kutoka South Afrika Kama kuna kitu natamani kufanya kwenye maisha yangu hapa Bongo na kitanipa furaha ya kweli, basi ni kwenda kujenga na kuishi Msituni,nilijikuta...
Wakuu leo naomba kuleta Story yangu ya kweli ya jinsi nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu kule wala mtu wa kunipokea.
Ukweli kuna wakati ilifika nilichoka sana maisha ya hapa nyumbani, ilikuwa Mwaka 2014, nilikuwa napitia changamoto nyingi za maisha hasa katika familia. Ukweli akili...
Wakuu naomba msaada wa kupata jina la series kali ya kucheki weekend hii. Mimi ni mpenzi wa series za Kijasusi, Lovestory pia ila iwe Kali sana.
Mfano wa Series ambazo tayari nilizitazama na kuzipenda sana ni
1. Iris
2. Prison Break
3. Game of throne
4. The Last Kingdom
5. The Hundred
6. The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.