Wameanza kuogopa hawa jamaa na inawezekana baadae wakatoa details za watu. Sasa inabidi tubakie jukwaa la mapenzi na mahusiano.
INAKUAJE THREADS ZINAHUSU UCHAGUZI WANAZICHUJA SANAAA NA MWISHO WAKE HAWAZIPOST. KWA IYO SAIVI JAMII FORUM IMEKUWA PRAISE FORUM NAYO.
Kumekuwa na sintofahamu juu ya uchaguzi mkuu wa Tanzania.
Wapo wanaosema ushindi wa Magufuli ni wa halali na wale wanaosema ni wa kuiba. Kwa kuwa nina hakika kila mmoja anaujuwa ukweli juu ya hili jambo, ili kuondoa unafiki naomba kila mmoja aitikie dua hii ili tujue ukweli.
Hii kwa wale...
Safi sana bora kinuke huko Jeshi lipelekwe lipunguzwe Zanzibar maana miaka yote munakuja kupindua meza.
Naomba dua hali iwe mbaya mikoa mingi majeshi na akari waende huko Zanzibar tumumuondoe jamaa wa MKURANGA. Na vile nasikia kuna habari nyeti katika mpaka wa Tz na Msumbiji.
Sawa Maalim pumzika kidogo maana kuna Wagombea vijana wanajipa likizo siku 8 halafu wanapiga kampeni siku 3 wanajipa tena likizo siku 4 so haipunguzi kitu.
Sisi tunajiandaa kwenda kupiga kura 27/10.
It's called Napelization. La mkono hilo mkuu.
1. Mimi nadhani ni vyema kwanza kuwe na usiri katika kupiga kura, hakuna haja ya kuwa na bahasha za kutilia kura na kuandikwa number ya kitambulisho cha mpiga kura juu ya bahasha hio.
2. Kama kuna ulazima wa kura ya mapema, kura zote zihesabiwe mara...
Sasa mkuu hio content kama lugha hujui unaandika vipi, au unaandikiwa?
Usitake kupotosha hapa unaongea na wasomi hapa sio Instagram. PhD level unakuwa unawork independently. Lazima uweze kuandika vizuri, hio content unayo ongelea wewe inaangaliwa katika maandishi yako. Kama hujui lugha huwezi...
Mkuu kushawahi kufanya research japo ya mastery level?
Unapofanya research hasa at PhD level ukafikia kudefend na kugraduate kama kweli umefanya mwenyewe bila ujanja hauwezi kushindwa kutoa speech kwa lugha uliofanyia hio PhD mbele ya kadamnasi.
Sasa wewe PhD holder umefanya research kwa lugha...
Kwa mujibu wa maneno ya mwenyekiti wa tume ya ZEC watumishi hao na mapolisi watalazimika kupiga tena kura tarehe 28 ya muungano. Sasa kwanini wasipewe ballot papers zote tano hio siku ya tarehe 28. Inamaana ndio tuseme kutakuwa na tofauti kubwa ya kupiga kura tatu tarehe 27 na kupiga kura tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.