Search results

  1. C

    Most admired Tanzanian Presidents

    1. JPM 2. JKN 3. BWM 4. AHM 5. JMK
  2. C

    Sandarusi ni nini?

    Eti sandarusi ni nini na inatumika wapi?
  3. C

    Jinsi ya kutengeneza sabuni ya unga nyumbani

    Habari Naomba kama kuna mtu anafahamu anielekeze Jinsi ya kutengeneza sabuni ya unga nyumbani. Asante
  4. C

    Methanol

    Jamani nani anafahamu maduka wanauza methanol?
  5. C

    Cyanide

    Cyanide inayotumika katika uchimbaji madini inauzwa sh ngapi?
  6. C

    Nanunua simu zilizokufa

    Nanunua simu zilizokufa, simu 100 sh. 40,000. Mwenye nazo niandikie msg.
  7. C

    Gereji za malori

    Habari Hivi hapa ni sehemu gani kuna gereji za malori makubwa na mabasi?
  8. C

    Maji ya betri ni acid ya aina gani?

    Hello Eti Maji ya betri ni acid ya aina gani?
  9. C

    Nanunua Copper ore

    Habari wana JF Mimi nina mzungu mmoja ananunua copper ore (mawe yenye copper) kutoka kwa wachimbaji wadogo popote pale tanzania. Kama mtu anachimba copper au anamfahamu mtu anayechimba copper, tunawezafanya biashara nzuri. Unachotakiwa kufanya ni kama wewe ni mchimbaji, ukishachimba hiyo copper...
  10. C

    Mikopo bila collateral

    Mambozzz. Hivi ni benki gani hapa tz wanatoa mikopo bila collateral?
  11. C

    BRELA Documents

    Habari za mchana. Nilienda brela kuandikisha kampuni wakaniambia baada ya name clearance, nipeleke documents kama tano hivi na laki 3. Hiyo ni bei sahihi na idadi ya documents? Maana nimeona kwenye website yao gharama za usajili hazifiki hata laki tatu
  12. C

    Ni kwa kiasi gani watanzania wanatumia Unga wa muhogo?

    Hello Nataka kufahamu ni kwa kiasi gani wananchi wa TZ wanatumia unga wa muhogo katika mlo wao wa kila siku ukilinganisha na unga wa mahindi? Na pia kama ukianzisha biashara ya kuuza unga wa muhogo, inalipa au makampuni mengine yashaliteka soko la unga nchini?
  13. C

    Kiwango cha elimu - Kampuni ya ujenzi

    Heri ya mwaka mpya Mimi ninatarajia kufungua kampuni ya ujenzi. Nimetembelea website ya CRB kucheki jinsi ya kusajili kampuni ila info kuhusu kiwango cha elimu cha mmiliki au partners wake sijaona. Anayefahamu haya mambo anitumie link au anipe info. Senkyu
  14. C

    Kodi katika kampuni

    Habari Hivi ukiwa mmiliki wa kampuni Tanzania, mfumo wa ulipaji kodi uko vipi? Unatakiwa ulipe kodi asilimia ngapi?
  15. C

    Naweza pataje pesa na gari kama hii?

    Mambo viipi Je, Naweza pataje pesa na gari kama hii? Used MITSUBISHI MINICAB 1997 S/N 144162 | JapaneseVehicles.com
  16. C

    Gari la kitalii

    Heri ya mwaka mpya! Kwa anayefahamu, ni kiasi cha pesa kinahitajika kulibadilisha land rover defender or toyota hardtop la kawaida kuwa la kitalii (kuweka viti na kufunguka juu)?
  17. C

    Gharama za kuanzisha mgodi tz

    Habari zenu. Kwa wenye uzoefu katika sekta ya madini, kwa mtu anayetaka kuanzisha mgodiwa saizi ya kati, ni madini ya aina gani hayana gharama kubwa kuchimba na processing?
  18. C

    Angaliza hizi video zitakusaidia kuwa na mafanikio kibiashara au kuwa tajiri

    Habari zenu. Mimi katika masomo yangu ya biashara nayosoma nimegundua kwamba wanadamu wanakuwa maskini kutokana na sababu mbalimbali mfano: jinsi ulivyolelewa, jinsi unavyoamini, mazingira unayoishi (mfano ukiwa ulaya ni rahisi kupata mikopo midogo midogo kuliko ukiwa tz), n.k. Sasa nimeona hizi...
  19. C

    Uwekezaji katika kilimo

    Habari zenu. Mimi nafikiria kuwekeza kwenye kilimo. Natarajia kuwa mwekezaji wa kati, sio mkubwa kama azam au mdogo kabisa, ila wa kati. Nachotaka kufahamu ni kwamba, kilimo kinalipa tz sana sana ukizingatia mvua ni za kubahatisha? Pia serikali inasaidia wakulima/wawekezaji na misamaha ya kodi...
  20. C

    Nini maana ya mwekezaji?

    Hamjambo wanaJF. hebu mwenye uelewa aniambia nini maana ya mwekezaji, ni mzungu anayetoka nje na kuja kuwekeza nchini au hata Simon wa mtaani mwenye duka la kawaida ni mwekezaji pia?
Back
Top Bottom