Kosa limeanza mwalimu wa field kupewa darasa la kwanza kufundisha. Watt wa darasa la kwanza wanataka walimu tena hasa wawe wa wamama wary wazima wenye huruma na upendo kwa wtt. Sasa mtt wa darasa la kwanza unamuachia mwalimu wa field kweli!!!? Ukute kaingia kwenye fani ya ualimu hio hana budi tu...
Ha ha haaaa. Juzi nilikutana na mwanfunzi wangu mmoja, akaniambia teacher hebu zeeka mana unaonekana km sie wanafunzi wako. Mie kati ya watu 100 basi 90 wanakosea kunikisia umri yena wengine wananishusha kwa tofauti ya miaka ht 20 😊
Asalam alaykm, kupitia uzi huu mimi naomba kuuliza...maana nimeona ama kusikia aina ya malalamiko kama haya kwa watu wengi.
swali langu ni hivi: inakuwaje mume na mke wanapoachana mali zinatakiwa zigawiwe kwa wote hata kama mali na za mwanamme? na jee kugawana inakuwa 50/50? na jee huku kugawana...
Waarabu wameingiaje tena hapa sheikh!!?
Mana kama unazungumzia zanzibar ya waarabu kwa miaka hii haipo tena. Hata hio SMZ labda katika viongozi 100 mmoja ndio mwarabu.
Halafu usisahau kuuliza pia aliebuni binaadam tule kwa mikono badala ya midomo pekee kama wanavyokula wanyama, kwa nini tunapika vyakula kwanza kabla kula hatuli raw kama wanyama, kwa nini tunavaa nguo, hatutembei uchi kama wanyama...kwa nini tunaoga kwa maji safi na sabuni za kunukia, hatuogi...
Na hivi ndivyo inavyotakiwa, lakini usishangae maana kuna uislamu na waislamu, kuna waumini na waislam jina...
hatujaamrishwa tufunge halafutijitangazie hio inabadili maana ya swaumu na kamwe mtu wa namna hii hatopata fadhila ya ibada yake ya swaumu anayoitekeleza inakuwa hamna tofauti na...
Mtoa mada kaifananisha ramadhani na kwaresma katika masuala ya kukutanisha watu kuftari pamoja, kusaidia wasiojiweza n.k
Hajafananisha kwa utofauti wa mounekano kwa aliefunga kiukweli na asiefunga kiukweli.
Hakuna kujionesha, kwetu sisi tunaanza kujizoesha kufunga tangu tukiwa wadogo labda from...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.