Habari zenu wakuu, natumai harakat znaend fresh
Naomba kuuliza kwa mwny uzoef kufungua postal address /S.L.P , utaratibu upoje..
Naitaj kuwa na postal address ili ninunue vtu online (eBay na aliexpress)
Msaada kwa anaefaham!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Let's connect mzee...nichek PM , maneno ya watu co final say...ideas zako zkifika kwa audience.. Ndo wana final say na chance ya kuimprove ipo kubwa saaana..NEVER GIVE UP
Habari zenu wakuu, hope mko poa..
Naomba niwafikishie taarifa hii, juu ya thread hiyo ambayo nliandika tarehe 14 Nov km ckosei...
Thread ilipokelewa kibinadamu ....maana yake kulkua na majbu ya aina zote, wengi walkua wanaotoa ushaur mzur lkn kuna bnadam wachache walotoa comment za ajabu...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana ,24 ...nimekuja hapa mjini tangu 2014, nikitokea kijijini kwetu mtwara. Hapa skua na ndugu hata mmoja Ila nmehaso angalau nimepata kibanda cha kuegesha mwili ucku na mishe za hapa na pale ili niweze kula.
Vhela kdg vlivyobak , km mjuavyo cc vjana mfuko ukijaa...
If una uzoef wowote juu ya hilo au information... Plz tell me
#naongelea PROFESSIONAL VIDEO/MOVIE full equipments na crew
Au km kuna kulipia au kupata vibali,..where am I supposed to go?
Location znyw ni beach pnyw, kule kwny rocks na miti miti...
#nawasilisha
Thanks mkuu, group lipo na link yake hii hapa
M.A.X STUDIOS (FILMS)
Unaweza join, au ntakuadd baadae
Na wengine wote mlio interested join our group kwa link hii hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo jema kabisa mkuu na nitashukuru sana, naamin tunaweza cooperate tukapga kaz nzuri zaid... Nakutumia namba yangu PM ili tuwasiliane zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale waigizaji, watunzi wa story, directors wa movie...pitia hapa please - JamiiForums
Kwa wale waigizaji, watunzi wa story, directors wa movie...pitia hapa please
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu, hope mko poa .
Ebwana straight to the point, Mimi ni aspiring filmmaker (director) . Na kwa muda sasa nmekua nafanya research juu ya hizi movie zetu #bongomovie na kuangalia makosa na wapi panaitaj maboresho.
Kwa kweli nmeona mengi, na pia nimejifunza mengi...kuanzia maswala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.