Ni hoja nzuri sana Mkuu ila ZRB inakusanya mapato chini ya Kamishna Mkuu Mh Yusuph Juma Mwenda, je mapato yao yanaenda wapi?! Huku Bara tuna TRA chini ya Mh. Alphayo Kidata, pesa zetu ndo zinakwenda kujenga bwawa la Nyerere, bwawa ambalo ndo linatoa na umeme kwa Wazanzibari. Pia pesa zetu ndo...
Ukiwa Tanzania na ukapata nafasi ya kuwa kiongozi hakikisha unapiga pesa! Unapiga pesa kiasi kwamba hata mkeka ukitoka na jina lako likawa halipo basi huna shida! Piga pesa kabla hata Katiba mpya haijafika! piga pesa kiasi kwamba umpeleke mwanao akasome nje ya nchi! piga pesa!
Safi sana Mkuu! Moja kati ya andiko bora sana! Fupi ila limejaa madini sana!
Cha kuongezea hapo tu! Tunaweza kutengeneza kazi au fursa ambayo itajumuisha michezo na utalii! Tunatumia sehemu ya utalii na mpira ili kuongeza uelewa zaidi!
Safi sana Mkuu
Juzi kati hapa nilipata nafasi ya kuhudhuria kikao cha UVCCM nikashangaa kuona Mjumbe mmoja anawaomba Halmashauri wafanye wepesi kuwapatia nafasi wanachama ili kuunga mkono jitihada za Mama! :( Niliondoka kama naenda Washroom ila ndo moja kwa moja!
Habarini Wakuu! Naomba kuchangia andiko!
Ndoa au familia yoyote ile ambayo ni bora inajengwa na heshima na adabu.
Heshima ya Baba kwa Mama
Heshima ya Mama kwa Baba
Heshima ya Baba kwa Familia
Heshima ya familia kwa Baba
Heshima ya Mama kwa familia
Heshima ya familia kwa Mama
Mwisho ni heshima...
Hongera sana Mkuu!
Binafsi huwa natumia njia hii:
Naandika mahitaji yangu yote katika maisha, kisha ninatenganisha mahitaji ya msingi sana na muhimu huku upande wa pili nikiweka yale yasio na ulazima.
Chakula huwa nanunua kingi cha kutosha tu. Kilo 50 za Unga naweka ndani, Kilo 25 za Mchele...
Usijibu kauli mbaya kwa kauli mbaya! Huyu anajibiwa kama hivi:
1. Kwanza kabsa anajishushia heshima yeye binafsi kwa kauli kama hizi! Na amini usiamini "Hakuna kitu kibaya kama kulamba miguu ili upate nafasi au kipato" Kujimwambafyai huku kumezidi. Alianza Mwenyekiti UVCCM Kagera akasema kuwa...
Safi Mkuu kwa andiko zuri sana! Haya ni baadhi ya kuongezea tu!
Usiingie kwenye ndoa kwa kigezo cha kuwafurahisha rafiki au ndugu! Utafeli vibaya sana! Watu hubadilika mapema sana, haswa jinsi ya kike maana hawa hutazama harusi na ndoa kama vitu ambavyo ni dhahania.
Hongera Mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.