Hapo mbona kuna icon ya "on going call" kwamba wakati unapiga hii screenshot kuna simu ulikuwa unaongea nayo au unapiga, kama ni hivyo basi hiyo ndio sababu ya kuonekana kwa hiyo icon ya kijani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.