wakuu ningependa kufahamu maelezo (cv) ya mbunge januari makamba.
Kuanzia elimu yake, (na alama alizopata) na maisha yake kwa ujumla.
Na ni sifa gani ya pekee ambayo ilimfanya apate nafasi ya kuwa msaidizi wa j.k (2005 -2010)
inasemekana jamaa anaandaliwa kuja kuwa president wa tanzania...
Re : NEC-ROST KUVUA UBUNGE. Igunga wazawa wanahitaji muislam sasa ktk hao wawili muislam anatakiwa akawasikilize wazee wa pale Igunga ndio maana CUF imepamba moto na kinachoniogopesha hapa ni je ktk karne hii kuna element za udini kweli ?...ubaguzi ?...usisi na uwao ?
At the end of the day tutashuhudia minyukano humo bungeni,we were right to vote 4'em but they're wrong 2 sacrify their personels toward sitting allowances ! Imagine wanatumia bil 506 p.a waache kusema NDIYO ? Leo project ya railway ambayo R.O.I iko wazi viable tunaicha inakufa..kumbe kunge...
Kuhusu Rost aliitwa awepo nchini lakini tangu JK aripoti dom juzi yasemekana jamaa hawezi tua nchini,na pili khs jimbo la Igunga sera iliyopo pale ni kwamba kampeni ya CUF iko juu asilimia 95% na CCM wanaumia vichwa wamuweke nani kwani wenyeji wanataka muislamu tu.
Tatu kuhusu umeme kima cha...
Nilivutiwa nilipoona members tunaumia na matumizi mabaya ya rasilimali kama siyo poor allocation ya resources na hapa namuomba anaejua accuracy figure iliyotumiwa na wavua magamba ili tuone analytical evaluation na hii bil 3
Nukuu:...hakuna skl thabiti inayoendesha nchi bila kukusanya kodi,nchi zote zilizotoa kipaumbele ktk hili leo zinapiga hatua mf.Italia wamefanya hili ! ! na mkishakuwa na serikali corrupt hamuwezi kukusanya kodi bali mtawawatumikia wakubwa..mtawawambia nini ! ?.Watakujibu tu ahaaa unaniambia...
Kuna hili laonekana kwa wana JF : Kwanza tumepata taarifa ya msiba,cha pili msiba unamuhusu mwanasiasa,cha tatu hapa tunatakiwa ku'mourn' na mwisho cha nne ni kuiongelea kata ya uchaguzi...tofauti yake naona vipengele 1,2,3 vinalukwa then preference inaenda ktk 4.Hey ! ndicho chatupasa ?
Ishu ya madawa ya kulevya ni nzito kuijadili kama ambavyo the chirld of a farmer alivyosisitiza ni bora walipa kodi tumkate kichwa kuliko yy kumtaja mfilisi wa kodi zetu-THE MEREMETA !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.